Muonekano wa Ukumbi kwa ndani kabla ya wageni hawajaingia.
Mustafa Hassanali na wageni waalikwa wakishow love mbele ya camera yetu.
Mwanamke mgongo bwana Lucky’s Creations akiwakilisha.
Haika Lawere wa Mbezi Garden alikuwepo ku-show case kazi anazofanya wakati wa maonyesho ya Biashara na Harusi (Harusi Trade Fair) yaliyofanyika usiku wa kuamkia Jumapili kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
Baadhi ya wageni waalikwa wakingalia bidhaa za Gogo Shop kwenye maonyesho hayo.
Harish Bhatt wa SHYLAND PHOTOGENIC wataalamu wa Picha za Maharusi kama kazi zao zinavyoonekana pichani, wakila pozi mbele ya Camera yetu…Unaweza kuwasiliana nao kwa email shylandphotogenic2013@yahoo.com
Wadau wa masuala ya Urembo wakipata maelezo na vipeperushi katika mabanda hayo kabla ya show kuanza.
MC wa Harusi Fashion Show Deogratius Kithama akitambulisha washiriki wa Harusi Trade Fair – Harusi Fashion Show .
Picha juu na chini ni Models na mavazi kutoka AN NISAA ABAYA.
Ubunifu wa Manju Msita.
Manju Msita akijitambulisha jukwaani.
Juu na Chini Models wakiwa na Magauni ya Harusi kutoka Wedding Kingdom.
Wadau wa masuala ya Urembo wakifuatilia kwa makini models wanaopita jukwaani.
Picha juu na chini ni Nguo za Sinta Bridal Lounge duka la Staa wa Bongo Sinta a.k.a J wake LO wa Bongo.
Sinta akipita jukwaani kujitambulisha na mmoja wa Models aliyevaa magauni ya dukani kwake.
Picha ya juu na za chini ni Ubunifu wa Mwanamama nguli katika tasnia ya mavazi Asya Khamsin Idarous.
Mbunifu nguli wa mavazi nchini Asya Khamsin Idarous akipozi na models waliovalia ubunifu wake.
Applause..
Brand Manager wa Kinywaji cha Baileys Azda Amani kutoka kampuni ya Serengeti akizungumzia ubora wa kinywaji cha Baileys ambapo alisema mbali na kunywa kama kiburudisho pia unaweza kupikia Cake ambayo ililetwa ukumbini hapo na kuonjeshwa wadau mbalimbali waliohudhuria Harusi Trade Fair iliyoenda sambamba na maonyesha ya nguo za harusi.
Brand Manager wa Kinywaji cha Baileys Azda Amani akiendesha bahati nasibu.
MC wa shughuli Deogratius Kithama akitangaza mshindi wa bahati nasibu hiyo.
Mshindi aliyefahamika kwa jina la Daniella akipokea zawadi kutoka kwa Brand Manager wa Kinywaji cha Baileys Azda Amani.
Picha juu na chini Models wakipita jukwaani na Suit za duka la Brand House.
Picha juu na chini ni nguo za duka la TWAIBA CLASSIC WEAR.