Quantcast
Channel: Fashion – DEWJIBLOG
Viewing all 244 articles
Browse latest View live

Garage Turned Into Apartment


#MBAR2015 Eleganza Fashion show Red carpet swagga and After Party @ Dar es Salaam Serena Hotel

$
0
0

DSC_0359

Warembo waalikwa katika pozi la Ukodak.

DSC_0346

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz,  Bw.Wayne McIntosh (kushoto) akipozi kwa picha na binti mrembo (katikati) aliyembatana na Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Tulip, Bw. Aatish Ladwa (kulia).

DSC_0349

DSC_0362

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (kushoto) akipozi na msaidizi wake.

DSC_0364

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi katika ukodak na baadhi ya wageni waalikwa.

DSC_0367

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi ambaye pia ni mdau mkubwa wa modewjiblog.

DSC_0370

Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (kushoto) na Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba ambao ndio wadhamini wakuu kupitia brand ya Mercedes Benz kwenye Mercedes Benz Ally Rehmtullah 2015 Eleganza Fashion show wakipata ukodak ndani ya hoteli ya Dar es Salaa Serena.

DSC_0376

Mshindi wa tiketi ya show ya #MBAR2015 Eleganza kwa niaba ya Flaviana Matata, Mwinyi Mkamballa akipata ukodak.

DSC_0377

Haika Lawere wa Mbezi Garden Hotel.

DSC_0383

Mmoja wa wadhamini wa #MBAR2015 Eleganza fashion show Mawakala Wasambazaji pekee wa vifaa vya Ki-elecktroniki vya LG kutoka MeTL Group.

DSC_0399

Maria Sarungi na mdau Lusajo.

DSC_0401

Mkurugenzi wa kampuni inayojishughulisha na ndege binafsi TanJet,  Susan Mashibe (kulia) akipozi na rafiki yake Maria Sarungi.

DSC_0388

Mkurugenzi wa kampuni inayojishughulisha na ndege binafsi TanJet,  Susan Mashibe (kulia) akiteta jambo na msaidizi (kushoto) wa Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (katikati).

DSC_0340

Meneja wa Bang Magazine, Emelda Mwamanga (kulia) akipozi na rafiki yake.

DSC_0344

Meneja wa Bang Magazine, Emelda Mwamanga akipata ukodak na Gyver Meena.

INSIDE AFTER PARTY….

DSC_0406

Wadau wa mavazi kutoka kushoto ni Martin Kadinda, mrembo, Rio Paul na Davito.

DSC_0437

Meneja Mkuu wa Multichoice Tanzania, Peter Fauel (kulia) akibadilishana mawazo na mdau wa mavazi kwenye after party ya Mercedes Benz Ally Rehmtullah 2015 Eleganza Fashion show.

DSC_0443

Good People and classy only at #MBAR2015 Eleganza show after party.

DSC_0449

DSC_0454

DSC_0460

DSC_0466

modewji blog #1 fans…..! Mashalaah!

DSC_0470

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz,  Bw.Wayne McIntosh (aliyesimama nyuma) akipata picha ya pamoja na wadau wa CFAO Motors.

DSC_0472

DSC_0474

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz,  Bw.Wayne McIntosh (katikati) akipata picha ya pamoja na Karen Emilie Asla (kulia) pamoja na Anette Otilie Pettersen kutoka Maendeleo Dance Group.

DSC_0477

DSC_0481

Amour Shamte na Abby Plaatjes.

DSC_0485

Amby Lusekelo (wa pili kushoto) akiwa na marafiki zake.

DSC_0489

Show ya #MBAR2015 Eleganza yafana Dar es Salaam Serena usiku wa kuamkia leo

$
0
0

DSC_0277

DSC_0338

Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (wa pili kulia) akitoa maelezo ya vijarida vya matoleo mapya ya magari aina ya Mercedes Benz kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto). Kulia ni Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba.

DSC_0339

Sales Representative wa Kampuni ya CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba akizungumza jambo na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto) alipotembelea meza ya Mercedes Benz magari yanayouzwa na kampuni ya CFAO Motors.

DSC_0336

Wageni waalikwa kwenye #MBAR2015 Eleganza Fashion show wakipitia majarida mbalimbali yenye taarifa za magari aina ya Mercedes Benz.

‘Model’ wa kiume, kike watia fora na mavazi ya ubunifu ‘run way’ yabamba ndani ya dakika 20.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Ile shoo maalum ya mwaka iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa hatimaye usiku wa Machi 21 ndani ya Serena Hotel jijini Dar es Salaam, shoo hiyo ‘Mercedes Benz Ally Remtullah 2015 Eleganza’ imeweza kuwa ya aina yake na ya kipekee  kwa kuvutia kila mmoja aliyehudhuria shoo hiyo.

Kama kawaida yake mbunifu wa mavazi, Ally Remtullah amekuwa akifanya vizuri kila mwaka kwenye shoo zake hizo anazoziandaa ambapo kwa shoo ya mwaka huu imezidi kuingia kwenye historia  kwa kuonyesha toleo jipya ‘New collection 2015’.

Miongoni mwa mambo yaliyoweza kubamba katika shoo hiyo ni pamoja na  jukwaa ‘Run way’  kwa Models hao kulitendea haki na na kuonekana tukio la Kimataifa.

Ni dhahiri shoo hiyo kwa kila aliyeshuhudia asilimia 100, ni ya Kimataifa. Ambapo ilichukua ndani ya dakika  20 huku kila Model  akipangilia vilivyo na mavazi maalum hali iliyopelekea kuliteka jukwaa.

Aidha,  kwa upande wake Ally Remtullah alipongeza wadau wote kwa kuendelea kumuunga mkono ambapo aliiambia Modewji blog kuwa baada ya hapo anatarajia kuendelea kufanya maonyesho zaidi ikiwemo ndani na nje ya nchi.

Pia aliwashukuru wadhamini akiwemo mdhamini Mkuu, Kampuni ya CFAO Motors LTD wauzaji wa magari kupitia brand yake ya Mercedes Benz.  Wengine ni  MeTL Group kupitia bidhaa za ki-elekroniki za LG  na wengine wengi.

Fuatana na camera ya modewji blog kwa picha za ‘Cat walk’ ndani ya hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

DSC_0044

DSC_0045

DSC_0048

DSC_0050

DSC_0053

DSC_0057

DSC_0063

DSC_0067

DSC_0070

DSC_0074

DSC_0078

DSC_0081

DSC_0084

DSC_0089

DSC_0092

DSC_0094

DSC_0099

DSC_0101

DSC_0103

DSC_0105

DSC_0007

DSC_0010

DSC_0108

DSC_0111

DSC_0114

DSC_0117

DSC_0121

DSC_0122

DSC_0124

DSC_0128

DSC_0132

DSC_0135

DSC_0141

DSC_0153

DSC_0162

DSC_0168

DSC_0175

DSC_0179

DSC_0181

DSC_0184

DSC_0195

DSC_0199

DSC_0205

DSC_0209

DSC_0213

DSC_0219

DSC_0222

DSC_0228

DSC_0230

DSC_0234

DSC_0236

Hi Mr. Photographer…..Greetings from Abby Plaatjes.

DSC_0009

DSC_0019

DSC_0243

DSC_0247

DSC_0250

DSC_0251

DSC_0253

DSC_0255

DSC_0258

DSC_0260

DSC_0263

DSC_0266

DSC_0267

DSC_0274

DSC_0282

DSC_0291

DSC_0300

DSC_0304

round of applause for Ally Rehmtullah…..

DSC_0305

DSC_0309

Here comes Ally Rehmtullah….. Yeeeeeh.

DSC_0320

DSC_0326

Model tatu tofauti za magari aina ya Mercedes Benz.

DSC_0332

Pichani juu na chini ni baadhi ya wageni waalikwa wakitoka kwenye ukumbi wa Marquee ndani ya hoteli ya Serena mara baada ya kumalizika Fashion show ya #MBAR2015 Eleganza.

DSC_0335

Waliong’ara red carpet kwenye sherehe ya siku ya wanawake Zanzibar

$
0
0

Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kwenye red carpet wakati wa sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyowakutanisha wanawake kutoka kila kona ya visiwani Zanzibar ambayo iliandaliwa na Kikundi cha Wanawake cha Zanzibalicious na kufanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya hoteli ya Bwawani.

DSC_0148

DSC_0099

DSC_0095

Mbunifu wa mavazi kutoka bara Mama wa mitindo Asia Idarous (kushoto) akipozi na mbunifu wa mavazi kutoka visiwani Zanzibar Matilda Ishungisa wa Malty design.

DSC_0092

IMG_20150323_074027

Mmoja wa wadhamini wa sherehe ya siku ya wanawake Zanzibar, Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Al Bashaer travel and tours, Shamma Hadi aking’ara kwenye red carpet.

FB_IMG_1427172863590

DSC_0106

Makamu mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake wa Zanzibalicious, Zaning’ha Otembo.

DSC_0109

DSC_0111

DSC_0055

Mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson.

DSC_0057

DSC_0034

DSC_0035

DSC_0041

DSC_0043

DSC_0045

DSC_0052

Naibu Waziri wa Viwanda Biashara na Masoko serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe Thuwaiba Kisasi.

DSC_0066

Wanaume nao hawakubaki nyuma kutoa sapoti kwa wanawake.

DSC_0113

Mama wa mitindo Asia Idarous aking’ara kwenye red carpet.

DSC_0119

DSC_0125

DSC_0128

Kutoka kushoto ni Make up artist Sada, Mama wa mitindo Asia Idarous na MC wa sherehe ya siku ya wanawake duniani visiwani Zanzibar, Mishi Bomba ambaye pia ni mtangazaji wa Magic FM.

DSC_0131

DSC_0134

DSC_0139

DSC_0141

DSC_0143

DSC_0155

DSC_0162

Mke wa Naibu Waziri wa Afya serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bi. Zakhia Kombo (kulia) akiwa na Mama wa mitindo Asia Idarous.

DSC_0164

DSC_0163

DSC_0167

DSC_0168

DSC_0169

DSC_0231

DSC_0238

DSC_0173

Blogger Othman Maulid wa Zanzinews.com katika picha ya pamoja na Mama wa mitindo Asia Idarous.

DSC_0176

modewjiblog nayo iliwakilishwa na Zainul Mzige (katikati) akiwa na Mama wa mitindo Asia Idarous (kulia) pamoja na Make up Artist Sada.

DSC_0243

DSC_0245

DSC_0247

TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016

$
0
0

WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

(TaSUBa)

timthumb

TANGAZO LA KUJIUNGA NA CHUO

TaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na

Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016

 Kozi hizo ni kama ifuatavyo:-

  1. Sanaa za Maonyesho (Performing Arts):-

Muziki, Ngoma, Tamthiliya/Maigizo, Sarakasi na Sanaa za Ufundi

  1. Ubunifu na Uzalishaji wa Muziki (Music Design and Production)
  2. Picha Jongefu (Media Design and Film Production)

    – Masomo ya sayansi ya Jamii, ICT, Kiswahili na Kiingereza yatafundishwa kwa wote.

   – Mwombaji kozi namba mbili (2) na namba tatu (3) awe na ujuzi wa compyuta.

unnamed (3)Pichani miongoni mwa walimu wa TaSUBa wakionyesha igozo la ubunifu jukwaani chuoni hapo.

NGAZI  YA CHETI KWA MIAKA MIWILI

Sifa za Kujiunga

-    Aliyemaliza Darasa la Saba (Standard Seven) na ambaye hakuhitimu kidato cha Nne

-    Aliyehitimu kidato cha Nne na hakufanikiwa kupata wastani wa “D” nne (4)

ANGALIZO:

-     Ngazi hii ni kwa Masomo ya Sanaa za Maonyesho TU.

-     Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM B

IMG_0404.jpg wanafunziBaadhi ya wanafunzi wa TaSUBa wakiwa katika moja ya shughuli za ngoma katika jukwaa chuoni hapo.

 NGAZI YA CHETI KWA MWAKA MMOJA

Sifa za Kujiunga

-    Aliyemaliza kidato cha nne na kupata wastani wa “D” nne (4)

ANGALIZO:

-    Watakaofaulu wastani wa ‘B’ baada ya kuhitimu ngazi ya cheti wataruhusiwa kujiunga

na Stashahada (Diploma) kwa miaka miwili.

-    Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM A

 a78f38f1d4L

Wanafunzi wa TaSUBa wakiwa darasani chuoni hapo.

NGAZI YA STASHAHADA (DIPLOMA)

Sifa za Kujiunga

-    Awe amefaulu kidato cha sita na kupata principal pass 1 na subsidiary 1

-     Awe  amehitimu  ngazi  ya  cheti  cha  sanaa  za  maonyesho  na  ufundi  kwenye  chuo kinachotambuliwa na NACTE

ANGALIZO:

-    Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM A

IMG-20130928-WA0000Miongoni mwa wasanii Mahiri hapa Nchini Tanzania, Baba Haji akiwa katika pozi wakati wa kuhitimu masomo yake. Msanii huyo ni miongoni mwa wasanii waliopitia chuo hicho. 

MAELEZO MENGINE

-    FOMU za kujiunga zinapatikana Chuoni pia kwenye tovuti ya chuo www.tasuba.ac.tz

-     Kila mwombaji atalipia ada ya FOMU ya Tsh.15,000/=kupitia NMB BANK akaunti

       Na. 2101100012 yenye jina UTAWALA CHUO CHA SANAA

-    Maombi yaambatanishwe na stakabadhi ya malipo (Receipt/Bank Pay Slip) ya Tsh.

15,000 kwa ajili ya FOMU.

-     Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 31/05/2015 na maombi yote yatumwe kwa; MTENDAJI MKUU, TaSUBa, S.L.P 32, BAGAMOYO, Tanzania.

-    Kwa MAELEZO zaidi wasiliana nasi kupitia namba za simu: 0715974100, 0763408792,  na 0715394933 au Barua pepe  taasisisanaa@gmail.com

Flaviana Matata atangaza vipodozi vya KIKO

$
0
0

Kwa mara nyengine tena Mwanamitindo afanyae kazi zake za uanamitindo nchini Marekani Flaviana Matata amepata deal ya kutangaza vipodozi vya Kiko Milano vya nchini Italy

Flaviana na wanamitindo wenzie wanatangaza kampeni iyo iliyopewa jina la Modern Tribe

flavy

 

Bongo5.com watoa picha maalum za ndoa ya Dk.Reginald Mengi na Jacqueline Ntuyabaliwe, Nchini Mauritius

$
0
0

Mengi-1

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Ni kama ndoto lakini mwishowe inakuwa si ndoto bali ni tukio halisi baada ya awali kuzagaa kwa picha tofautio 9, za Harusi ya Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Nchini, Dk. Reginald Mengi akiwa katika harusi  na Jacqueline Ntuyabaliwe, huko fukwe za visiwa vya hadhi ya juu Nchini Mauritius.

mengi-3

Mtandao wa Bongo5.com  umekuwa wa kwanza kurusha picha hizo (Exclusive) huku wakiweka ‘brand’ yao kwenye picha hizo ambapo walibandika picha 9 kutoka kwenye harusi hiyo,  iliyosemekana imefungwa mwisho wa mwezi March 2015.

mengi-5

Picha hizo zilinaonyesha pia watoto wao wawili mapacha kama wanavyoonekana kwenye picha pamoja na marafiki wengine wa familia pamoja na ndugu ambao idadi yao inafikia 50.

mengi-4

Ndoa imefungwa miezi minne baada ya Reginald Mengi kumchumbia Jacky, Nchini  Dubai kwenye siku ya kuzaliwa ya mrembo huyu December 2014. (Tazama picho hizo).

mengi-6Familia ya pande zote mbili

mengi-7Jacky akiwasili eneo maalum

mengi-8watoto wao ambao ni mapacha wakimkaribisha mama yao

mengi-9Tukio maalum la kihistoria likikamilika

mengi-2Jacky akifurahia na wasaidizi wake…

Exclusive: Mastaa Bongo wanaojiamini hadi ‘kujiachia’ miili yao hawa hapa!

$
0
0

nay 2Wasanii Ney wa Mitego (kushoto) na Diamond Platinumz (kulia

Na Andrew Chale wa Modewji Blog

Kwa muda mrefu sasa huenda nawe  umepata kushuhudia baadhi ya mastaa wa Bongo pamoja na watu maalufu wakiwa kwenye kurasa mbalimbaali za magazeti na majarida, mitandao ya kijamii na mabagno ya matangazoa wakiwa katika muonekano tofauti hasa katika kuonesha miili yao kiuhalisia.

Mastaa hao pia tunawashuhudia kwenye video zao iwe filamu, muziki na matangazo, wakionyesha sehemu za maumbilie yao kama kifua, tumbo, mgongo, kiuno na hata miguu kwa baadhi yao wakiwemo wa kike.

11Msanii Juma Jux

10456014_788713777825591_1972336236018089873_n

Jux na Vanessa MdeeJux na VeeMoney

Sababu kadhaa za kiuchambuzi ambazo Modewji blog, imezibaini licha ya kuwa wengi wao wanalalamikiwa kwenda kinyume na maadili ya Mtanzania ama mwafrika, Kwa sas Tanzania imeendelea kupiga hatua kwa upande huu kwa namna moja ama nyingine, kwani ongezeko la majarida ya kijamii ambayo yanaandika watu maalufu na mastaa pamoja na majarida ya kibiashara, yamekuwa chachu ya kuendelea kushuhudia kinachoelezewa hapa.

ALIKIBA1

k6

Kiba1.jpgeeMsanii Ali Kiba

Mbali na hilo la kupamba majarida (Magazine) pia baadhi ya mastaa wengine ni hulka yao kuwa na tabia ya kuonyesha maumbile yao kwani wapo wanaojisikia vizuri na pia ni ‘life style’ yao pasipo kuingiliwa na mtu yoyote.

Elizabeth-Michael

1013460_501605599917627_658084832_nMsanii Lulu Michael ‘Lulu’

Kingine pia ni wengi wa mastaa hao ni watu wa mazoezi hivyo wamekuwa wakitumia miili yaao hiyo kama mvuto hasa kwa muonekano wa vifua vyao kuwa na ‘six pack’ na vitu vingine ambavyo ni kivutio kwa mwili kwa mwanaume.

Pia uchunguzi  huo umewabaini wengi wa mastaa hao wamekuwa wakijiachia sehemu ya miili yao kama sehemu ya kivutio kwa ‘fans’ zao hasa kwa baadhi ya mastaa wa kike na kiume.

faiza ally657

zaiza_ally09Msanii wa filamu na aliyewahi kuwa Miss

Nyuma ya pazia!

Kila jambo na wakati wake, hili limeweza kubainika kiukweli kuwa, nyumam ya pazia wasanii wengi wanakuwa na wakati mgumu sana kwani inapofika wakati wa wao kuwa na maandalizi ya kupiga picha za kawaida ‘photo shoot’ au za video’video shooting’   Madairecta   uwapendekeza wasanii hao wawe katika hali ya mvuto kwa wasanii wa kiume au wa kike wawe hivyo hivyo na mvuto ama mahaba lakini kwa hali hii

wasanii ‘vimbau mbau’ ama wale wenye afya ndogo huwa wanaichukia sana kipengele hichi kwani baadhi yao ukifuta ama wengine wanashahuriwa waanze ‘gym’ ya lazima ili mrdi tu wawe fiti.

c0fff75296e811e29fb622000aaa1012_7

unnamed-300x300

07bc6afe962b11e297bf22000a1f9263_7Msanii Diamond Platinumz

Modewji blog kwa hapa tunakuwekea baadhi ya picha za mastaa wachache kati ya wengi ambao kutokana na mvuto wa miili yao ikiwemo kupangika hali inayopelekea mara nyingi picha zao kutumika kwenye  promo, kwenye mitandao ya kijamii na mabango makubwa ikiwemo ya kuvutia watu katika saluni mbalimbali na kwingineko.

Mastaa hao ni pamoja na wasanii, wa filamu, muziki, models,  na wengineo.

Angalia pichani:

Hamisa

hamisa-mobeto-bb

hamisa1Hamisa Mabeto ‘msanii na modolz.

PhotoGrid_1391872291059

MASOGANGEAgnes Gerald Masogange ‘Video Queen’ 

nay-wa

Nay-na-DaynaMsanii Ney wa Mitego

Rich+Mavoko+-+Pacha+wanguMsanii Rich Mavoko

Hata hivyo, Modewji imebaini kuwa, wasanii hao wengi wanakosa fursa za kujiingizia pesa kwa kutumia muonekano wa miili yao hiyo hasa kwa kuingia mikataba na makampuni kwa lengo la kutangaza bidhaa.

Baadhi ya bidhaa hizo ni pamoja na mavazi ya ndani ikiwemo ‘boxer’, bukta, chupi’, sidilia’, pedo, skin taiti na mengineo mengi.

Msomaji wa Mtandao huu wa Modewji blog, endelea kuperuzi nasi muda wote tutaendelea kukuletea habari siku zote, asante.

Kama una habari, picha za matukio unaweza kututumia kupitia email na namba zilizopo hapo juu kulia ama kupitia 0719076376.


Whimsical Floral Love Bridal Editorial

$
0
0

Simply Sweet Photography By Nomo Akisawa, along with hair stylist Hair by Brands and makeup artist: Jasmine Hoffman, decided to do this delightful session in the heart of Yaletown in downtown Vancouver. Jasmine created a floral eye piece that gave the shoot a romantic, whimsical feel and we simply love the pop of red it creates in this divine editorial shoot.

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-08

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-01

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-02

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-03

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-04

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-05

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-06

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-09

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-10

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-11

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-13

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-14

Fab-You-Bliss-Simply-Sweet-Photography-By-Nomo-Akisawa-Floral-Love-19

Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram

$
0
0

DIAMOND789

Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com

… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu

..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, Zari 

Na Andrew Chale wa MOdewji blog

Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa  ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.

Uchunguzi wa kina uliofanywa na Modewji blog kupitia mitandao kadhaa ya kijamii (Social network) imebaini wengi wa mastaa hao wana ‘akaunti’ ambazo kila kukicha wamekuwa wakitupia kazi zao na kuzipa promo.

Hata hivyo katika ‘kupekenyua’ huko kwenye mitandao hiyo licha ya mastaa hao kuwa na wafuasi wengi zaidi mara nyingi wamekuwa wazito kujibu kila wanapokuwa wanaulizwa na ‘fans’ wao kupitia ujumbe wanazotupia kwenye mitandao hiyo.

c0fff75296e811e29fb622000aaa1012_7

Diamond Platinumz.

Sukari  ya warembo ambaye kila kona kila mahala hawaishi kusema jina lake staa huyu ambaye kwa sasa ameendelea kuingia mitaani hasa ‘Uswazi’ kwa kusema nao wanawake na wapekenyua pekenyua kupitia wimbo wake wa #NASEMANAWE, Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz ‘Chibu Dangote’ ndio anayeongoza kwa kuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao yake ya kijamii ikiwemo ya Instagram, Twitter na Facebook.

11049145_1397516490567255_1678008914_n

Diamond na Zari.

Idadi ya ‘fans’ wake Instagram

Hadi jana, Diamond kupitia akaunti yake instagram, ana followers 571K,  huku yeye akiwa ameweza kuwafuata ‘fans’ following 425 tu,  kwa upande wa Post, vitu alivyotupia ni zaidi ya 2049+. Hii ni hadi leo Aprili 14.

Rais huyo wa kundi la Wasafi (WCB ) katika kila post yake moja, inauwezo wa kuchangiwa maoni ‘comments’ zaidi ya 15,000.

Hata hivyo siku za hivi karibuni, Diamond kupitia kurasa yake hiyo ya Instagram amekuwa akipokea LIKE zaidi ya 15,000 pamoja na Comment zaidi ya 14,000 hasa baada ya kuanza kutupia picha za ‘promo yake mpya ya  tukio la kihistoria linalotarajiwa kufanyika Mei Mosi mwaka huu.

Mbali na hilo, pia ameweza kupata LIKE zaidi ya 21,030 huku komenti zaidi ya 1107, baada ya kutupia picha akipigaana mabusu na Zari.

diamond platnumz na zarir

Posti yake aliyoweka wiki mbili zilizopita, iliyozua gumzo kuwa amefunga ndoa na Zari, hadi sasa posti hiyo ina LIKE zaidi ya 27,707+  huku ikiwa na komenti zaidi ya 5686….Hata hivyo, hadi hivi sasa bado watu wanaendelea kukomenti kwa kumpa hongera ya kufunga ndoa, licha ya kuwa sio ndoa bali ni ‘promo’ ya Mei Mosi mwaka huu… ‘Kalagha bao, kupenda chongo, mapenzi mzigo,  mtu anashikilia msimamo wake kuwa hiyo ni ndoa ya kweli licha ya kumpa elimu kua haikuwa ndoa, basi anapiga kelele na wewe unayemwelimisha anakuona ni #teamKiba, ingia uone (Instagram-Diamond Platinumz).

DSCN0115

Posti ya kwanza aliyoipost Diamond kwenye mtando wa kijamii wa Instagram, kama inavyoonekana.

Diamond alijiunga Instagram wiki 115 zilizopita (115W),  na picha  yake ya kwanza alijitambulisha yeye kama yeye huku akionyesha uzuri wa kifua chake kilichopaangika kwa six pack. Post hiyo ilipata LIKES 389 huku ikipata komenti 61.

DSCN0120

post yake ya tatu za mwanzo mwanzo..

Post yake ya tatu kutoka siku ya kwanza kujiunga na Instgram, alipata LIKES 195 huku akipata komenti 11. Diamond LIKES zilianza kuongezeka kutoka kwenye 100 hadi 300 na 400, pale alipotupia picha akiwa na Mama yake mzazi.

Diamond aliibuka tena na LIKES ni pale alipotupia tena picha akiwa na bi mkubwa mama mzazi, akimbusu ambapo aliweka ile ya enzi za utoto ya ukubwani aliweza kupata  LIKES 1,522 huku ikipata komenti 108.

diaom

Posti iiyoongeza LIKES nyingi zaidi kwa Diamond.

Baada ya hapo ikawa ndio habari nyingine kwani aliweza kufikisha LIKES  1000 hadi 2000, wakati Diamond anafikisha LIKES hizo, Wema Sepetu kwenye akaunti yake alikuwa na uwezo wa kufikisha LIKES 3000 hadi 5000 pamoja na komenti zaidi ya 800 hadi 1500. Mwendo huu uliendelea hadi kwa muda kadhaa huku Diamond akiendelea kujiimarisha, ‘Vishkwambi’ sio hii ya Huawei mimi nimeeleza tu, basi wakaanza kuongezeka huku wengine wakitoka kwa Wema na waliokuwa na bifu na Kiba wakabidi waungane na Diamond, waliokuwa na bifu na Wema dhidi ya Kajala wakaenda kwa Diamond ndio hali unayoiona sasa, Huu ni utafiti wetu MODEWJI BLOG, wala hauingiliani na utafiti wa chombo kingine kile.

DSCN0111

Pichani ni baadhi tu ya majina yaliyotokea ukisachi kwenye ‘injini’ ya Instagram, ambapo chini ya majina hayo kuna majina mengine zaidi ya 20, yote ni Diaomond, paamoja #team/fans/

Mbali na kuongoza huko kuwa na wafuasi wengi, pia Diamond Platinumz jina lake limeweza kutumika kwa karibu ‘fans’ wake wengi ambao wamekuwa ‘adikted’ na msanii huyo ‘sukari ya warembo’.

Pia jina la Diamond Platinumz ‘Chibu Dangote’ limeongoza kwa kufunguliwa akaunti nyingi kupitia mitandao ya kijami hasa wa Instagram. Aidha kama sio mfuatiliaji wa mambo, unaweza kuingia kichwa kichwa pia ukatapeliwa kwani kupitia kutumia jina hilo, watu hao wameweza kujikusanyia fans wengi huku baadhi yao wakidhani ndio ukurasa wa Diamond Platinumz kumbe ni wajaanja wachache  kwani kurasa hizo zimekuwa zikitupia ujumbe na picha zinazoendana na wakati swa sawa na zile anazotupia Diamond mwenyewe kupitia kurasa zake.

 …Hapo akili kichwani mwako… kwani utafiti uliofanywa na Modewji blog, ulibaini kuwa, wengi wamekuwa wakifungua akaunti hizo kwa nia njema ikiwemo kumpa sapoti Diamond kutokana na kumpenda kwa kazi zake huku wengine wakienda mbali kuwa wamefungua hizi ili kupambana na mashabiki wa msanii Ali Kiba ambaye kila kukicha ugomvi wao huo umekuwa ukiendelezwa kupitia #TEAM.

k6

Ali Kiba  mwenye Followers 179K, ambaye baadhi  ya wafuasi ‘fans’ wake walikimbilia kwa Diamond

Makundi ya #teamkiba na #teamDiamond yamekuwa yakikua kila kukicha kupitia mitandao ya kijamii ambapo kwa sasa kundi la #teamKiba limeweza kuongezewa nguvu baada ya kundi la #teamWema kujiunga na #teamKiba kumshambulia Diamond na Zari.

Patamu hapo, baada ya Modewji karibu miezi kadhaa sasa imeendelea kufuatilia makundi hayo, ambapo kuna ‘chembechembe’ kwa mbali #teamKajala nao waliweza kujichomeka kwa #teamZarithebossLady kwa lengo la kumshambulia #teamWema.

Hata hivyo, bado hajaeleweka kwa Diamond ambapo kuna wakati amekua akitupia picha za Wema Sepetu aliyewahi kuwa mpenzi wake, ambapo kila anapotupia picha ya Wema, post yake hiyo hujaa na komenti nyingi ambapo kila mmoja huonyesha ufundi wake wa kumuelezea mtu mmoja mmoja, utakuta ‘fan’ anaanza kuelezea sifa za Wema hapo hapo mwingine anajibu mapigo kwa kuelezea sifa za Zari the Boss Lady ambaye ni mchumba wa Diamond wa sasa.

Katika post hiyo hiyo inaenda mbali, unakuta mtu anaingizia ‘issue’ ya Ali Kiba ambapo wote wanaanza kubadilika na kuanza kumshambulia Kiba na ndipo timu Kiba nao wanajibu  hali ambayo komenti zinakuwa nyingi zaidi.

wema-sepetu

Wema Sepetu mwenye Followers 530K, ambaye awali alikuwa mchumba wa Diamond, kabla ya kuachana. Wema ndie aliyekua akishikiria rekodi ya kuwa na wafuasi wengi zaidi ambapo kila Post yake hata kama ‘ujinga’ basi iliweza kubeba LIKES nyingi pamoja na komenti za kutosha kutoka kwa fans wake ambao wengi wao kwa sasa ndio hao wamehamia kwa Diamond na kwa Kajala Masanja (Utafiti).

Wengine wenye wafuasi wengi:

zarilaface

Zari the Boss Lady  mwenye followers 309K,  asilimia kubwa amekuwa si muongeaji kwani hata wakati mwingine ni #teamZari ndio wenye sauti kuliko yeye mwenyewe. #teamzari ndio wamekuwa mstari wa mbele kuongelea mambo ya Wema juu ya ugomvi wakati wawili hao wenyewe wanajuana lakini watu wenye uwelewa wao wanabainisha kuwa hizo ni njia ya kibiasharam kwani Zari ni mjasiliamari na kaja Tanzania ‘kuzichanga’  shoo ndio hiyooo Mei Mosi mwaka huu pale Mlimani City, jiandae nadhani umeona ‘NYEUPE’ hiyo ndio msemo wao katika shoo hii inayotarajiwa kuja hapo Mei Mosi, haata hivyo Kiingilio cha shoo bado Soon watakitangaza ila sasa ‘MUJIPANGE’.

Akaunti ya Zari mpenzi wa Dimaond, ana folllowers 309K, huku akiwa ame following 100, pekee na ametupia mapicha zaidi ya 2030.

Katika hao, 100, Zari aliweza following, Diamond mwenyewe ambaye ndie mpenzi wake, shemeji yake kwa Diamond,  Romyjons, wifi yake Esmaplatnum na wengine wengi ikiwemo akaunti za watu wa karibu wanaofaanya shughuli za muziki na Diamond.

Pia amewa following watangazaji na wadau wa muziki wakiwemo wana habari.

Kajala

Kajala Masanja mwenye Followers 320K, ambaye kwa sasa ‘amesimama’ pekee yake baada ya fans wake kukimbilia kwa Wema. Kwa sasa Kajala anaendelea na shughuli mbalimbali ikiwemo filamu, endelea kumtazama kwenye filamu mbalimbali kikubwa ni jinsi alivyo na aiba ya upole na uzuri wa matamanio.

Chege chigunda 144K, DJCHOKA 125K, Millardayo 394k, Sinta 34.6k, Vanessamdee 364k, Juma Jux 173k, AY 164k, Fidq 86.1k, Roma 96.3k, Mwanafa 200k, Khadija Mwanamboka 35.9k, Mwasiti Almasi 65k.

wolper

Wolper Gambe kama anavyopenda kujulikana hivyo, ana Followers 360K,  ni miongoni mwa wasanii wa Filamu za Bongomovie ambaye ukiangalia filamu anazoigiza anazitendea haki, licha ya kuwa madairekta wengi kumpanga sehemu ambayo si sawa yake. Amekuwa akiigiza filamu nyingi za kushirikishwa lakini nafasi anayopewa anaitendea haki kiasi kuwa wamemuonea na hakuistahili kuwa hapo. Pia anamvuto wa kipekee pindi unapomuangalia kwenye filamu zake.. macho yake ya haiba, uongeaji wake na uzuri wake wa hasili, tafuta filamu zake.

Hbaba 53.1k, Kitale Mkude Simba 163k, Ali Kiba 179k, Tundaman 63.1k, Linah Sanga  203k, Jomakini 176k, Richmavoko 47.6k, Masanja mkandamizaji 70k, Sheta 153k.

Kajala Masanja 320k, Mbonishow 108k, Mashughuliblog 19.4k, Masogange 54.8k, Wemasepetu 530k,  Stanbakora 49.3k, Malkia wa kichaga 104k, Wakazi 15.6k, Kidoti 23.4k, Riopoul 29.4K.

563f2ce4f3fbf90a9a35882d12ea77bd

Millardayo  ana Followers 394K, Mtangazaji wa Cloud Fm, pia ana Media yake binafsi ya Ayo Tv blog ya Millardayo.com, pamoja na Multichoice SA, Ni miongoni mwa watu maarufu kwa sasa Bongo. Millard Ayo kwa sasa bado anaendelea na ndoto yale ya kuelekea mafanikio makubwa hapa Tanzania, Hivyo Modewji blog inaendelea kumuombea kuyafikia hayo mafanikio Keep up Millard! Tupopamoja, mtu wetu wa NGUVU!!.

MWANAFA

MwanaFa ana Followers 200K,  ni msanii pekee ambaye kila mwaka akitoa ngoma kali

Pia wamo Martin Kadinda 204k, Petitiman 179k, Wolper 360k, Lemutuznational 57k, Allyrehmtullah 15.3k, Raqey14.4k, Adammchomvu 202k, Ladyjaydee 137k, Lulumichael 57.2k, Benpol 167k, Maishaclub 18.4k, Hamisa mabeto153k, Majizzo 15.3k, Barnaba 157k. na wengine wengi ambao tutawaletea katika utafiti wa mitandao ya Twitter na Facebook.

689203085

Adam Mchomvu  ana Followers 202K, mtangazaji wa Cloud Fm, kipindi cha XXL, pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, pia kwa sasa yupo mbioni kwenda nchini China kusomea mambo ya  ubunifu wa mavazi na mitindo, unaweza muita Baba John.

Adam Mchomvu ni miongoni mwa watu maarufu hasa kwa ‘Swagger’ anazotupia  achilia mbali za Sauti ambazo imebainika kuwa  wanaume wengi hasa vijana walikuwa wakizitumia swagger zake kutongozea wasichana. Pia amekuwa ni mtu maarufu hasa kwa baadhi ya misemo inayotumjika kuwa anaipaga kiki na kusambaa kwa kasi midomoni mwa watu hasa ile ya Serengeti Fiesta na anayokuwa akiitoaga kwenye kipindi cha XXL cha Cloud Fm.

 Pia  kama una habari na picha waweza kututumia kupitia Whatsapp +255 767 076376 au anuani zilizopo hapo juu.

Bongo wengi waoga kupiga picha kwenye zuria jekundu katika ‘Event’

$
0
0

ASIA IDAROUS kwenye red carpet

Mama wa Mitindo Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Fabak fashions ya Mikocheni kwa Mwalimu Nyerer, Asia Idarous Khamsin  akipita kwa madaha kwenye zuria jekundu.

Mama wa Mitindo, Asia Idarous anaeleza kuwa, desturi ya kupita kwenye zuria inampa muhusika kujiamini hasa akiwa kwenye muonekano wa aina yoyote ile. Hali hiyo imepelekea ‘event’ nyingi zinazofanyika hapa Nchini na nchi zingine kuwa  na utaratibu maalum ikiwemo kupamba eneo la kuingilia ili wanaohudhulia tafrija ama tukio maalum kupita hao na kupata picha ya ukumbusho.

Hata hivyo Modewji blog, imekuwa ikifanya utafiti kwa muda mrefu ambapo imebaini kuwa wengi wa watanzania wamekuwa hawana desturi ya kupata ‘ukodaki’  yaani picha ya ukumbusho katika shughuli wanazohudhulia.

Licha ya kuwa wapo wanaopenda kupata picha  kwenye zuria jekundu ‘red carpet’ bado muhitikio ni mdogo hasa kwa watanzania ambao wengi wao wamekuwa na hofu ya hali ya juu bila kujua wanachoogopea pindi wanapopita kwenye zuria jekundu kiasi kwamba mtu anayepiga picha hadi amlazimishe ama amlainishe kwa maneno matamu ndio utakuta anakubali kupiga picha hiyo ya ukumbusho.

unnamed-59

Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata picha na mama Wa Msanii Toka Marekani Yvonne Sangudi Kwenye Red Carpet.

Vitu ambavyo Modewji blog imevigundua

Wengi wa wanaohudhulia shughuli mbalimbali wamekuwa na ‘tabia’ ya kuongopa kuwa nimelala!,ama nipo sehemu fulani kumbe si kweli hayupo huko.

Pia inaelezwa kuwa, wapo baadhi ya wanaume ama wanawake ‘kujiachia’ na wenza ambao si wao hivyo pindi atakapopigwa picha akiwa na mwenza aliyefika naye hapo ni sawa na kujichongea.

Utafiti mwingine uliobainika ni kuwa baadhi yao kupita kwenye  zuria jekundu na kupiga picha wanajihis kama hawajapendeza hivyo kujiona kama wao si lolote. Hii imekuwa ikiwakuta watu wengi sana lakini kwa hali ya kawaida halina nguvu sana kwani Mwanadada Siyani Fadea anayefanya shughuli za  kusimamia shughuli za upambaji kwenye matamasha makubwa kwa Bara la Asia, kwenye makala yake moja alibainisha kuwa,  red carpet imekuwa ikimpa mtu ujasiri  mkubwa kwani asilimia kubwa baadhi ya mitindo,  hutokea kupitia red carpet.

“Hivyo ambavyo unavyojiona umetoka nyumbani na kujiamini, basi ujasiri huo ndio unaokupa nguvu na haki ya kuwa bora zaidi ya wengine hasa  unapopita kwenye zuria jekundu na kupiga picha kwenye wingi wa kamera na mastaa” alibainisha Siyad Fadea.

Siyadi Fadea alibainisha kuwa, ‘red carpet’ ni tukio muhimu na ambalo linatokea mara moja tu hivyomtu unapokuwa kwenye tukio na kuna red carpet basai ni muhimu wa kupata picha ya ukumbusho  na pia ni kumbukumbu ya mwandaaji wa tukio kuona ni jinsi gani alivyoungwa mkono.

DSC_0095

Dondoo zingine:

Wengi wa wandaaji wa shughuli ambazo zinakuwa na tukio la ‘Red Carpet’ wamekuwa wakijitahidi kugharamia kwa gharama kubwa  ikiwemo kukodisha ‘zuria hilo jekundu’, Pia vifaa kama taa mbalimbali kwa ajili ya kukufanya uwe ang’avu, gharama ya za kukodisha vitendea kazi ikiwemo kamera na vinginevyo sidhani kama mtu kweli unakwepa kupita kwenye red carpet.

Wapiga picha: Kwa kawaida wapiga picha wanaopiga picha za matukio asilimia kubwa wanakuwa ni wale waliopewa haki miliki na mwandaaji wa tukio, pia shughuli zingine wapiga picha maalum ambao wao kazi yao ni kupiga na kusafisha hapo hapo ambazo unazipata picha zako baada ya kuisha kwa shughuli, wapiga picha hawa pindi kama picha yako ujaikomboa/kuinunua basi picha hizo ufutwa na kutengeneza picha zingine..

Aidha, kwa sasa licha ya wengi kuogopa kupita kwenye red carpet, suala la mitandao ya kijamii hasa Instagram na facebook, imekuwa chachu ya wengi kuanza kuibuka kwa kasi kupiga picha ili kutupia kwenye kurasa zake hizo za kijamii.

AAb6Cio

 

 

DSC_0071

Rio Poul ‘The Stylish akiwa kwenye red carpet na rafiki yake ambaye naye ni mtaalamu wa kupangilia mavazi kwa models.

diamondnanelly2

Msanii Diamond Platnumz alipokuwa Marekani alipata kupita kwenye Red carpet ambayo ilikuwa ni maalum kwa watu maalufu na mastaa pekee, ambapo yeye alikuwa ni miongoni mwao hali aliyopata chansi ya kusalimiana na kupata kuhijiwa na media kubwa za nchi mbalimbali duniani.

WemaSepetuakiwaRedCapet

Wema akiwa kwenye ‘red carpet’.

AAb6xla

DSC_0106

mtvMr Flavour na kampani yake wakipita kwenye red carpet kwenye tuzo hizo.

AAb3EEl

Diamond-akiwa-katika-Redcapert

DSC_0072

s20

Asia-Idarous-na-Martin-Kadinda.

Kwa leo, niishie hapa ila nitakuja na kingine Jumapili Ijayo: Kama una picha ama habari ya tukio lolote lile, basi  tupigie 0719076376 au Whatsapp 0767076376 ama kupitia email na namba ya simu iliyopo hapo juu.

Waliong’ara kwenye red carpet uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa jijini Dar

$
0
0

DSC_00821
DSC_0231

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) katika picha ya kumbukumbu na Afisa Habari wa Shirika la UNFPA nchini, Sawiche Wamunza.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

DSC_0228

DSC_0260

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Yona Samo wa UNDP Tanzania.

DSC_0258

DSC_0247

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akiendelea kupata picha za kumbukumbu na wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini.

DSC_0265

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Clemence Lopa wa ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini.

DSC_0257

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akiendelea na zoezi la picha.

DSC_0256

DSC_0214

Pichani juu na chini ni couples waliong’ara kwenye mnuso wa uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa uliofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar.

DSC_0210

DSC_0221

DSC_0219

DSC_0329

DSC_0332

DSC_0082

Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto(UNICEF).

DSC_0081

DSC_0084

DSC_0291

Pichani juu na chini ni baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini wakipata picha za kumbukumbu wakati wa uzinduzi wa shamra shamra za kusheherekea miaka 70 ya Umoja wa Mataifa zilizofanyika kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.

DSC_0297

DSC_0296

DSC_0101

DSC_0100

DSC_0128

DSC_0124

DSC_0270

DSC_0145

DSC_0143

DSC_0243

DSC_0245

DSC_0345

DSC_0343

DSC_0148

DSC_0152

DSC_0177

DSC_0174

DSC_0454

DSC_0458

DSC_0137

DSC_0136

DSC_0320

DSC_0318

DSC_0168

DSC_0166

DSC_0200

DSC_0195

DSC_0241

DSC_0240

DSC_0280

DSC_0277

DSC_0289

DSC_0287

DSC_0303

DSC_0298

DSC_0207

DSC_0205

DSC_0341

DSC_0338

DSC_0226

DSC_0224

DSC_0237

DSC_0235

DSC_0051

DSC_0324

DSC_0103

DSC_0284

DSC_0254

DSC_0251

DSC_0273

DSC_0073

DSC_0035

DSC_0077

DSC_0039

DSC_0182

DSC_0185

DSC_0190

DSC_0191

DSC_0558

Picha iliyovunja rekodi kwenye red carpet za uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania. Pichani ni Laurean Kiiza wa UNIC Dar es Salaam

DSC_0550

DSC_0159

DSC_0111

DSC_0131

DSC_0313

DSC_0312

Asya Idarous, Gusagusa Min Band ndani ya Uingereza kufanya maonyesho Mei 2 na 3

$
0
0

11169017_958488377518759_1048095244_n

Bana ya shoo hiyo ya Gusagusa Min band na Asia Idarous Khamsin itakayofanyika nchini Uingereza.

London, Uingereza

Mbunifu wa mavazi nchini ‘Mama wa Mitindo’, Asia Idarous Khamsin yupo nchini Uingereza akiwa ameambatana na magwiji wa muziki wa taarab kutoka Tanzania, Gusagusa Min Band ambao watafanya maonyesho makubwa ndani ya miji ya nchi hiyo ikiwemo London na Northampton.

Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo nchini humo, Kampuni ya Didas Entertainment ya Uingereza walieleza kuwa, shoo ya kwanza itakuwa Mei 2, katika viunga vya mji wa London na shoo  nyingine ni Mei 3 katika mji wa Northampton ambapo kutakuwa na fashion shoo ‘Divas Catwalk’  itakayopambwa na Mama wa Mitindo, Asia Idarous.

“Gusagusa Min Band na Mama wa Mitindo, Asia Idarous, Tayari wapo ndani ya viunga vya Uingereza na wapo kamili kwa shoo kabambe Mei 2 ndani ya Empire Suite, London na  shoo ya Mei 3, ndani ya Academy, mji wa  Northampton.  Gusagusa ipo full band nzima ikijumuisha wapiga vyombo wao” ilieleza taarifa hiyo kutoka Didas Entertainment.

Aidha, katika safari hiyo, Asia Idarous ameongozana na wadau wengine wakiwemo Mkurugenzi wa Gusagusa Mind Band,  Hasan Farouk,  gwiji wa taarab, Bi Afua Suleiman (muimbaji), Bi Mwanahawa Ally (muimbaji), Jaffer bhai (muimbaji), Khamis Chizi (master keyboard ) na Abdulla Ngonda (mpiga base) na wengineo wengi.

11178372_957991814235082_5347065811729573025_n

 Mama wa Mitindo, Asya Idarous Khamsin (katikati) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Gusagusa Min Ban, Achun Baa  na Hamis chizi ‘Master keyboard’  ndani ya viunga vya Milton Keynes UK (Uingereza).

Didas Entertainment imekuwa ikifanya shughuli mbalimbali za burudani ikiwemo kupeleka wasanii kutoka Tanzania na kupiga shoo nchini Uingereza pamoja na shughuli zingine za Sanaa ikiwemo filamu, wasanii wa filamu na uandaaji wa filamu, ambapo hadi mwaka huu imeweza kutimiza miaka 10, tokea kuanzishwa kwake.

11009174_10152877662767684_2829549992663885067_n

Asia Idarous na waimbaji gwiji.

11188171_957971547570442_5616187021648209676_n

Asya Idarous ndani ya pozi kweney viunga vya Milton Keynes United kingdom

11178232_10152886994017684_7247829965855112253_n

Kwa kuweka oda ya kupata tiketi ndani ya UK, whatsapp +447556171941 kwa ku reserve tables

With Didas fashions and Mwanahawa ally

Asya Idarous na  Didas fashions pamoja na Mwanahawa Ally

1375172_10152872390352684_5056457734253432038_n

Achuu Baa meneja wa Gusagusa akiwa ndani ya ndege wakati wa kuwasili kwake ndani ya UK tayari kwa shoo hiyo Mei 2 na Mei 3.

11149355_842666905806201_697106551785747428_n

Gusagusa Mind Band ndani ya UK wakiwa kamili na wenyeji wao.

Taarifa kwa Umma: Ufafanuzi juu ya kanuni ya uwianishaji wa Mafao ya Pensheni 2014

$
0
0
pic+packages
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Hifadhi ya Jamii nchini Tanzania (SSRA) Bi. Irene Kisaka

These Loafers Were Made for Commuting to Work

$
0
0

05-best-bet-everlane.w529.h793

By 

Wearing heels to and from work isn’t exactly practical, especially if you’re stuck relying on public transportation. You could go for a menswear-inspired flat or a sporty sneaker, but Everlane asks, Why choose? The brand’s latest creation, the Street Shoe, combines the shape of its Modern Loafer with the cushioning and sole of a sneaker. Its slim silhouette and ultra-lightweight design is comfy without looking out of place when paired with trousers or a sheath dress, especially in this black-and-white pattern. And if you really want it to pull double duty, it happens to look just as good with a pair of jeans on the weekends as well.

Street Shoe, $155 at Everlane.


Jennifer Lopez rocking the 2015 Billboard Latin Music Awards in Miami

MO akutana na Rais Filipe Nyusi wa Mozambique jijini Dar

$
0
0

IMG-20150518-WA0054

CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.

Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!

$
0
0

TIIPichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa  tuzo zao..

Na Andrew Chale, Modewji blog

Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.

Washindi hao  ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi aliweza kupatikana kwa kura za wananchi , kama alivyonukuliwa  mwenyekiti  Mtendaji wa Bongo5 Music Group, Luca Neghesti.

Washndi wa tuzo hizo za watu 2015 ni:

Mtangazaji wa redio anayependwa- D’Jaro Arungu – TBC FM.

Kipindi cha redio kinachopendwa- Papaso – TBC FM.

Mtangazaji wa runinga anayependwa– Salim Kikeke (BBC Swahili)

Kipindi cha runinga kinachopendwa- Mkasi (EATV)

Blog/Website inayopendwa- millardayo.com

Muongozaji wa video anayependwa- Hanscana

Muongozaji wa filamu anayependwa- Vincent ‘Ray’ Kigosi

Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa- Wema Sepetu

Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa- Hemedy PHD

Mwanamuziki wa kike anayependwa- Lady Jaydee

Mwanamuziki wa kiume anayependwa- Ali Kiba

Filamu inayopendwa- Kigodoro

Video ya muziki inayopendwa- ‘Nani kama Mama’– Christian Bella Feat. Ommy Dimpoz

TUOZ

Baadhi ya washindi wakiwa na tuzo zao, kutoka kushoto ni Msanii bora wa kike, Lady Jaydee akifuatiwa naa Ommy Dimpoz. anayefuata ni dada wa mwanamuziki Ali Kiba aliyempokelea tuzo kwa niaba yake akifautiwa na Millard Ayo.

TUWmwenyekiti  Mtendaji wa Bongo5 Music Group, Luca Neghesti ambao ndio waandaji wa tuzo hizo akielezea machache kwenye redcarpet juu  ya tuzo hizo na kituo cha About Bongo.com ambao ni Online TV.

YY

‘crew friends’ marafiki KN na NS wakiwa pamoja na marafiki zao katika redcarpet katika tukio la utoaji wa tuzo za watu 2015

TZ

Mtangazaji wa  radio ya Taifa ya TBC FM, Djaro Alungu ambaye aliibuka na tuzo mbili kwa mwaka huu na kuvunja rekodi ya aliyekuwa mtangazaji mwenzake, Millard Ayo,  akiwa na tuzo zake pamoja na crew yake.

DSC_0848

Mtangazaji wa BBC SWAHILI, wa Dira ya Dunia, Salm Kikeke akitoa nasaha kwa waliofika wakati wa kupokea tuzo yake hiyo,

20150504101541 - Copy

Mwanamuziki Ommy Dimpoz akiwa katika pozi na Andrew Chale, Mwandishi Mwandamizi wa Mtandao huu wa Modewjiblog.com muda mfupi baada ya kupokea tuzo yake.

IMG_20150522_193013Baadhi  ya warembo waliopamba usiku huo wa tuzo za watu 2015 chini ya usimamizi wa Ally Rehmtullah (katikati) wakiwa katika pozi..

Tuzo za Filamu Tanzania 2015 zafana Dar wasanii kibao wazoa tuzo

$
0
0
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala pamoja na viongozi mbalimbali wa meza kuu kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 wakipiga picha na baadhi ya washindi wa Tuzo za Filamu 2015 jana zilizofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala pamoja na viongozi mbalimbali wa meza kuu kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 wakipiga picha na baadhi ya washindi wa Tuzo za Filamu 2015 jana Mei 23, zilizofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini.
SERIKALI imesema itaendelea kuweka mfumo mzuri na kujenga mazingira mazuri ili kuhakikisha biashara ya filamu inaimarika, ikiwa ni pamoja na kuwavutia wawekezaji binafsi waliopo tayari kuwekeza katika tasnia ya filamu. 
 
 Kauli hiyo imetolewa jana  Mei 23, jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi wa Tuzo za Filamu 2015, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala alipokuwa akihutubia wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo za filamu. Dk. Mukangala alipongeza juhudi za baadhi ya wafanyabiashara wa filamu na wasambazaji ya kudhibiti uharamia wa kazi za filamu, lakini aliwataka kuifanya kazi hiyo kwa manufaa ya wadau wote na sio kwa manufaa binafsi. 
 
 “…Serikali itaendelea kuhakikisha kwamba mazingira ya kufanya biashara ya filamu yanaimarishwa. Pamoja na hayo ni vyema wasambazaji na wafanya biashara wengine wa filamu wenye uwezo wakaepuka kulidhibiti soko la filamu kwa nanufaa yao binafsi ili kujenga ushindani sawa,” alisema Dk. Mukangala. Aliwataka wasanii na wadau wote wa filamu kuhakikisha wanaboresha kazi zao zaidi na kufuata vigezo vinavyotambulika ili kuzitangaza kazi zao hata nje ya nchi. 
 
“Napenda mtambue kuwa ubora wa bidhaa za filamu ni moja ya vigezo vya kuwa na soko bora la filamu, kwani filamu bora hujitangaza zenyewe. Tuhakikishe kuwa tunaongeza weledi na ubunifu. Hivi ndivyo vigezo vilivyoifanya sekta ya filamu nchi zilizoendelea kufika hapo ilipo,” aslisema Waziri Dk. Mukangala. 
 
 Kwa upande wake, Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFA), Simon Mwakifwamba aliiomba serikali kuangalia uwezekano wa kujenga chuo maalumu kwa ajili ya filamu ili kuijengea uwezo zaidi tasnia kwani inamchango mkubwa katika kuzalisha nafasi za ajira kwa makundi anuai.
 
 Waliojishindia tuzo za filamu kwa mwaka huu ‘Tanzania Film Awards 2015 (TAFA)’ katika vipengele mbalimbali ni pamoja na Irine Sanga (Best Screen Play), Hassan Muya (Best Actor Supporting Role), Grace Mapunda (Best Actress Supporting Role), Amri Athuman-King Majuto (Best Comedian), Irene Paul (Best Actress), John Kalage (Best Director) na wengineo. 
 
Tuzo hizi kubwa ambazo zimefanyika kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere International Conference Center. Zimewezeshwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, TRA, EATV na EAR, International Eye Hospital, Foreplan Clinic, R&R Associates, Simu Tv na Barazani Production.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala akitoa shukrani baada ya kupokea tuzo aliyopewa Rais Jakaya Kikwete na Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFA) kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala akitoa shukrani baada ya kupokea tuzo aliyopewa Rais Jakaya Kikwete na Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFA) kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015.
Mama yake na Steven Kanumba akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo ya mwanaye kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
Mama yake na Steven Kanumba akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo ya mwanaye kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
Irene Paul (Best Actress) akipokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
Irene Paul (Best Actress) akipokea tuzo yake  na Dk.Mwaka, kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015. 
Irene Paul (Best Actress) akipongezwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
Irene Paul (Best Actress)(shoto) akipongezwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 .
Mama yake na Steven Kanumba akipokea tuzo ya mchango mkubwa kwenye filamu aliyotwaa mwanaye (marehemu Kanumba) kwenye tuzo za Filamu 2015.
Mama yake na Steven Kanumba akipokea tuzo ya mchango mkubwa kwenye filamu aliyotwaa mwanaye (marehemu Kanumba) kwenye tuzo za Filamu 2015.
John Kalage (Best Director) akipokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana. 
John Kalage (Best Director) (shoto) akipokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015.
.Hissan Muya (Best Actor Supporting Role) akipeana mkono na viongozi wa meza kuu wakiongozwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
Hassan Muya (Best Actor Supporting Role) (shoto) akipeana mkono na viongozi wa meza kuu wakiongozwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015.
Grace Mapunda Best Actress Supporting Role) akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
Grace Mapunda (Best Actress Supporting Role) akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015.
Hissan Muya (Best Actor Supporting Role) akipokea tuzo yake kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 jana.
 Hassan Muya (Best Actor Supporting Role) akipokea tuzo kwa niaba ya msanii mwenzake Amri Athuman-King Majuto kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015.
Mwakilishi wa Amri Athuman-King Majuto (Best Comedian Tanzania Film Awards 2015) akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo kwenye Tuzo za Filamu 2015 jana.
Mwakilishi wa Mzee Jangala  (Best Comedian Tanzania Film Awards 2015) akipeana mkono na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala mara baada ya kupokea tuzo kwenye Tuzo za Filamu 2015.

Stunning Seaside Murals While Balancing On A Surfboard

$
0
0

Hawaii-born painter and street artist Sean Yoro (a.k.a. Hula) has created a stunning series of street art murals depicting women emerging from the water along the concrete walls of ruined and abandoned structures. At home on the water, he paddles on a surfboard to reach the best locations for his art, even managing to balance his paint cans as well.

Before the NY-based artist unveiled these stunning street art murals on his Instagram, he had already made a name for himself with his beautiful portraits of women painted on canvas and even on old surfboards.

Untitled

Untitled 1

Untitled 2

Untitled 3

Untitled 4

Untitled 4

Untitled 5

Untitled 6

Untitled 7

Untitled 8

Untitled 9

Untitled 10

Viewing all 244 articles
Browse latest View live