Garage Turned Into Apartment
#MBAR2015 Eleganza Fashion show Red carpet swagga and After Party @ Dar es Salaam Serena Hotel
Warembo waalikwa katika pozi la Ukodak.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz, Bw.Wayne McIntosh (kushoto) akipozi kwa picha na binti mrembo (katikati) aliyembatana na Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Tulip, Bw. Aatish Ladwa (kulia).
Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (kushoto) akipozi na msaidizi wake.
Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi katika ukodak na baadhi ya wageni waalikwa.
Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi ambaye pia ni mdau mkubwa wa modewjiblog.
Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (kushoto) na Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba ambao ndio wadhamini wakuu kupitia brand ya Mercedes Benz kwenye Mercedes Benz Ally Rehmtullah 2015 Eleganza Fashion show wakipata ukodak ndani ya hoteli ya Dar es Salaa Serena.
Mshindi wa tiketi ya show ya #MBAR2015 Eleganza kwa niaba ya Flaviana Matata, Mwinyi Mkamballa akipata ukodak.
Haika Lawere wa Mbezi Garden Hotel.
Mmoja wa wadhamini wa #MBAR2015 Eleganza fashion show Mawakala Wasambazaji pekee wa vifaa vya Ki-elecktroniki vya LG kutoka MeTL Group.
Maria Sarungi na mdau Lusajo.
Mkurugenzi wa kampuni inayojishughulisha na ndege binafsi TanJet, Susan Mashibe (kulia) akipozi na rafiki yake Maria Sarungi.
Mkurugenzi wa kampuni inayojishughulisha na ndege binafsi TanJet, Susan Mashibe (kulia) akiteta jambo na msaidizi (kushoto) wa Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (katikati).
Meneja wa Bang Magazine, Emelda Mwamanga (kulia) akipozi na rafiki yake.
Meneja wa Bang Magazine, Emelda Mwamanga akipata ukodak na Gyver Meena.
INSIDE AFTER PARTY….
Wadau wa mavazi kutoka kushoto ni Martin Kadinda, mrembo, Rio Paul na Davito.
Meneja Mkuu wa Multichoice Tanzania, Peter Fauel (kulia) akibadilishana mawazo na mdau wa mavazi kwenye after party ya Mercedes Benz Ally Rehmtullah 2015 Eleganza Fashion show.
Good People and classy only at #MBAR2015 Eleganza show after party.
modewji blog #1 fans…..! Mashalaah!
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz, Bw.Wayne McIntosh (aliyesimama nyuma) akipata picha ya pamoja na wadau wa CFAO Motors.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz, Bw.Wayne McIntosh (katikati) akipata picha ya pamoja na Karen Emilie Asla (kulia) pamoja na Anette Otilie Pettersen kutoka Maendeleo Dance Group.
Amour Shamte na Abby Plaatjes.
Amby Lusekelo (wa pili kushoto) akiwa na marafiki zake.
Show ya #MBAR2015 Eleganza yafana Dar es Salaam Serena usiku wa kuamkia leo
Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (wa pili kulia) akitoa maelezo ya vijarida vya matoleo mapya ya magari aina ya Mercedes Benz kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto). Kulia ni Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba.
Sales Representative wa Kampuni ya CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba akizungumza jambo na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto) alipotembelea meza ya Mercedes Benz magari yanayouzwa na kampuni ya CFAO Motors.
Wageni waalikwa kwenye #MBAR2015 Eleganza Fashion show wakipitia majarida mbalimbali yenye taarifa za magari aina ya Mercedes Benz.
‘Model’ wa kiume, kike watia fora na mavazi ya ubunifu ‘run way’ yabamba ndani ya dakika 20.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Ile shoo maalum ya mwaka iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa hatimaye usiku wa Machi 21 ndani ya Serena Hotel jijini Dar es Salaam, shoo hiyo ‘Mercedes Benz Ally Remtullah 2015 Eleganza’ imeweza kuwa ya aina yake na ya kipekee kwa kuvutia kila mmoja aliyehudhuria shoo hiyo.
Kama kawaida yake mbunifu wa mavazi, Ally Remtullah amekuwa akifanya vizuri kila mwaka kwenye shoo zake hizo anazoziandaa ambapo kwa shoo ya mwaka huu imezidi kuingia kwenye historia kwa kuonyesha toleo jipya ‘New collection 2015’.
Miongoni mwa mambo yaliyoweza kubamba katika shoo hiyo ni pamoja na jukwaa ‘Run way’ kwa Models hao kulitendea haki na na kuonekana tukio la Kimataifa.
Ni dhahiri shoo hiyo kwa kila aliyeshuhudia asilimia 100, ni ya Kimataifa. Ambapo ilichukua ndani ya dakika 20 huku kila Model akipangilia vilivyo na mavazi maalum hali iliyopelekea kuliteka jukwaa.
Aidha, kwa upande wake Ally Remtullah alipongeza wadau wote kwa kuendelea kumuunga mkono ambapo aliiambia Modewji blog kuwa baada ya hapo anatarajia kuendelea kufanya maonyesho zaidi ikiwemo ndani na nje ya nchi.
Pia aliwashukuru wadhamini akiwemo mdhamini Mkuu, Kampuni ya CFAO Motors LTD wauzaji wa magari kupitia brand yake ya Mercedes Benz. Wengine ni MeTL Group kupitia bidhaa za ki-elekroniki za LG na wengine wengi.
Fuatana na camera ya modewji blog kwa picha za ‘Cat walk’ ndani ya hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Hi Mr. Photographer…..Greetings from Abby Plaatjes.
round of applause for Ally Rehmtullah…..
Here comes Ally Rehmtullah….. Yeeeeeh.
Model tatu tofauti za magari aina ya Mercedes Benz.
Pichani juu na chini ni baadhi ya wageni waalikwa wakitoka kwenye ukumbi wa Marquee ndani ya hoteli ya Serena mara baada ya kumalizika Fashion show ya #MBAR2015 Eleganza.
Waliong’ara red carpet kwenye sherehe ya siku ya wanawake Zanzibar
Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kwenye red carpet wakati wa sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyowakutanisha wanawake kutoka kila kona ya visiwani Zanzibar ambayo iliandaliwa na Kikundi cha Wanawake cha Zanzibalicious na kufanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya hoteli ya Bwawani.
Mbunifu wa mavazi kutoka bara Mama wa mitindo Asia Idarous (kushoto) akipozi na mbunifu wa mavazi kutoka visiwani Zanzibar Matilda Ishungisa wa Malty design.
Mmoja wa wadhamini wa sherehe ya siku ya wanawake Zanzibar, Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Al Bashaer travel and tours, Shamma Hadi aking’ara kwenye red carpet.
Makamu mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake wa Zanzibalicious, Zaning’ha Otembo.
Mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson.
Naibu Waziri wa Viwanda Biashara na Masoko serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe Thuwaiba Kisasi.
Wanaume nao hawakubaki nyuma kutoa sapoti kwa wanawake.
Mama wa mitindo Asia Idarous aking’ara kwenye red carpet.
Kutoka kushoto ni Make up artist Sada, Mama wa mitindo Asia Idarous na MC wa sherehe ya siku ya wanawake duniani visiwani Zanzibar, Mishi Bomba ambaye pia ni mtangazaji wa Magic FM.
Mke wa Naibu Waziri wa Afya serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bi. Zakhia Kombo (kulia) akiwa na Mama wa mitindo Asia Idarous.
Blogger Othman Maulid wa Zanzinews.com katika picha ya pamoja na Mama wa mitindo Asia Idarous.
modewjiblog nayo iliwakilishwa na Zainul Mzige (katikati) akiwa na Mama wa mitindo Asia Idarous (kulia) pamoja na Make up Artist Sada.
TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO
(TaSUBa)
TANGAZO LA KUJIUNGA NA CHUO
TaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na
Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016
Kozi hizo ni kama ifuatavyo:-
- Sanaa za Maonyesho (Performing Arts):-
Muziki, Ngoma, Tamthiliya/Maigizo, Sarakasi na Sanaa za Ufundi
- Ubunifu na Uzalishaji wa Muziki (Music Design and Production)
- Picha Jongefu (Media Design and Film Production)
– Masomo ya sayansi ya Jamii, ICT, Kiswahili na Kiingereza yatafundishwa kwa wote.
– Mwombaji kozi namba mbili (2) na namba tatu (3) awe na ujuzi wa compyuta.
Pichani miongoni mwa walimu wa TaSUBa wakionyesha igozo la ubunifu jukwaani chuoni hapo.
NGAZI YA CHETI KWA MIAKA MIWILI
Sifa za Kujiunga
- Aliyemaliza Darasa la Saba (Standard Seven) na ambaye hakuhitimu kidato cha Nne
- Aliyehitimu kidato cha Nne na hakufanikiwa kupata wastani wa “D” nne (4)
ANGALIZO:
- Ngazi hii ni kwa Masomo ya Sanaa za Maonyesho TU.
- Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM B
Baadhi ya wanafunzi wa TaSUBa wakiwa katika moja ya shughuli za ngoma katika jukwaa chuoni hapo.
NGAZI YA CHETI KWA MWAKA MMOJA
Sifa za Kujiunga
- Aliyemaliza kidato cha nne na kupata wastani wa “D” nne (4)
ANGALIZO:
- Watakaofaulu wastani wa ‘B’ baada ya kuhitimu ngazi ya cheti wataruhusiwa kujiunga
na Stashahada (Diploma) kwa miaka miwili.
- Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM A
Wanafunzi wa TaSUBa wakiwa darasani chuoni hapo.
NGAZI YA STASHAHADA (DIPLOMA)
Sifa za Kujiunga
- Awe amefaulu kidato cha sita na kupata principal pass 1 na subsidiary 1
- Awe amehitimu ngazi ya cheti cha sanaa za maonyesho na ufundi kwenye chuo kinachotambuliwa na NACTE
ANGALIZO:
- Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM A
Miongoni mwa wasanii Mahiri hapa Nchini Tanzania, Baba Haji akiwa katika pozi wakati wa kuhitimu masomo yake. Msanii huyo ni miongoni mwa wasanii waliopitia chuo hicho.
MAELEZO MENGINE
- FOMU za kujiunga zinapatikana Chuoni pia kwenye tovuti ya chuo www.tasuba.ac.tz
- Kila mwombaji atalipia ada ya FOMU ya Tsh.15,000/=kupitia NMB BANK akaunti
Na. 2101100012 yenye jina UTAWALA CHUO CHA SANAA
- Maombi yaambatanishwe na stakabadhi ya malipo (Receipt/Bank Pay Slip) ya Tsh.
15,000 kwa ajili ya FOMU.
- Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 31/05/2015 na maombi yote yatumwe kwa; MTENDAJI MKUU, TaSUBa, S.L.P 32, BAGAMOYO, Tanzania.
- Kwa MAELEZO zaidi wasiliana nasi kupitia namba za simu: 0715974100, 0763408792, na 0715394933 au Barua pepe taasisisanaa@gmail.com
Flaviana Matata atangaza vipodozi vya KIKO
Kwa mara nyengine tena Mwanamitindo afanyae kazi zake za uanamitindo nchini Marekani Flaviana Matata amepata deal ya kutangaza vipodozi vya Kiko Milano vya nchini Italy
Flaviana na wanamitindo wenzie wanatangaza kampeni iyo iliyopewa jina la Modern Tribe
Bongo5.com watoa picha maalum za ndoa ya Dk.Reginald Mengi na Jacqueline Ntuyabaliwe, Nchini Mauritius
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Ni kama ndoto lakini mwishowe inakuwa si ndoto bali ni tukio halisi baada ya awali kuzagaa kwa picha tofautio 9, za Harusi ya Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Nchini, Dk. Reginald Mengi akiwa katika harusi na Jacqueline Ntuyabaliwe, huko fukwe za visiwa vya hadhi ya juu Nchini Mauritius.
Mtandao wa Bongo5.com umekuwa wa kwanza kurusha picha hizo (Exclusive) huku wakiweka ‘brand’ yao kwenye picha hizo ambapo walibandika picha 9 kutoka kwenye harusi hiyo, iliyosemekana imefungwa mwisho wa mwezi March 2015.
Picha hizo zilinaonyesha pia watoto wao wawili mapacha kama wanavyoonekana kwenye picha pamoja na marafiki wengine wa familia pamoja na ndugu ambao idadi yao inafikia 50.
Ndoa imefungwa miezi minne baada ya Reginald Mengi kumchumbia Jacky, Nchini Dubai kwenye siku ya kuzaliwa ya mrembo huyu December 2014. (Tazama picho hizo).
watoto wao ambao ni mapacha wakimkaribisha mama yao
Exclusive: Mastaa Bongo wanaojiamini hadi ‘kujiachia’ miili yao hawa hapa!
Wasanii Ney wa Mitego (kushoto) na Diamond Platinumz (kulia
Na Andrew Chale wa Modewji Blog
Kwa muda mrefu sasa huenda nawe umepata kushuhudia baadhi ya mastaa wa Bongo pamoja na watu maalufu wakiwa kwenye kurasa mbalimbaali za magazeti na majarida, mitandao ya kijamii na mabagno ya matangazoa wakiwa katika muonekano tofauti hasa katika kuonesha miili yao kiuhalisia.
Mastaa hao pia tunawashuhudia kwenye video zao iwe filamu, muziki na matangazo, wakionyesha sehemu za maumbilie yao kama kifua, tumbo, mgongo, kiuno na hata miguu kwa baadhi yao wakiwemo wa kike.
Sababu kadhaa za kiuchambuzi ambazo Modewji blog, imezibaini licha ya kuwa wengi wao wanalalamikiwa kwenda kinyume na maadili ya Mtanzania ama mwafrika, Kwa sas Tanzania imeendelea kupiga hatua kwa upande huu kwa namna moja ama nyingine, kwani ongezeko la majarida ya kijamii ambayo yanaandika watu maalufu na mastaa pamoja na majarida ya kibiashara, yamekuwa chachu ya kuendelea kushuhudia kinachoelezewa hapa.
Mbali na hilo la kupamba majarida (Magazine) pia baadhi ya mastaa wengine ni hulka yao kuwa na tabia ya kuonyesha maumbile yao kwani wapo wanaojisikia vizuri na pia ni ‘life style’ yao pasipo kuingiliwa na mtu yoyote.
Kingine pia ni wengi wa mastaa hao ni watu wa mazoezi hivyo wamekuwa wakitumia miili yaao hiyo kama mvuto hasa kwa muonekano wa vifua vyao kuwa na ‘six pack’ na vitu vingine ambavyo ni kivutio kwa mwili kwa mwanaume.
Pia uchunguzi huo umewabaini wengi wa mastaa hao wamekuwa wakijiachia sehemu ya miili yao kama sehemu ya kivutio kwa ‘fans’ zao hasa kwa baadhi ya mastaa wa kike na kiume.
Msanii wa filamu na aliyewahi kuwa Miss
Nyuma ya pazia!
Kila jambo na wakati wake, hili limeweza kubainika kiukweli kuwa, nyumam ya pazia wasanii wengi wanakuwa na wakati mgumu sana kwani inapofika wakati wa wao kuwa na maandalizi ya kupiga picha za kawaida ‘photo shoot’ au za video’video shooting’ Madairecta uwapendekeza wasanii hao wawe katika hali ya mvuto kwa wasanii wa kiume au wa kike wawe hivyo hivyo na mvuto ama mahaba lakini kwa hali hii
wasanii ‘vimbau mbau’ ama wale wenye afya ndogo huwa wanaichukia sana kipengele hichi kwani baadhi yao ukifuta ama wengine wanashahuriwa waanze ‘gym’ ya lazima ili mrdi tu wawe fiti.
Modewji blog kwa hapa tunakuwekea baadhi ya picha za mastaa wachache kati ya wengi ambao kutokana na mvuto wa miili yao ikiwemo kupangika hali inayopelekea mara nyingi picha zao kutumika kwenye promo, kwenye mitandao ya kijamii na mabango makubwa ikiwemo ya kuvutia watu katika saluni mbalimbali na kwingineko.
Mastaa hao ni pamoja na wasanii, wa filamu, muziki, models, na wengineo.
Angalia pichani:
Hamisa Mabeto ‘msanii na modolz.
Agnes Gerald Masogange ‘Video Queen’
Hata hivyo, Modewji imebaini kuwa, wasanii hao wengi wanakosa fursa za kujiingizia pesa kwa kutumia muonekano wa miili yao hiyo hasa kwa kuingia mikataba na makampuni kwa lengo la kutangaza bidhaa.
Baadhi ya bidhaa hizo ni pamoja na mavazi ya ndani ikiwemo ‘boxer’, bukta, chupi’, sidilia’, pedo, skin taiti na mengineo mengi.
Msomaji wa Mtandao huu wa Modewji blog, endelea kuperuzi nasi muda wote tutaendelea kukuletea habari siku zote, asante.
Kama una habari, picha za matukio unaweza kututumia kupitia email na namba zilizopo hapo juu kulia ama kupitia 0719076376.
Whimsical Floral Love Bridal Editorial
Simply Sweet Photography By Nomo Akisawa, along with hair stylist Hair by Brands and makeup artist: Jasmine Hoffman, decided to do this delightful session in the heart of Yaletown in downtown Vancouver. Jasmine created a floral eye piece that gave the shoot a romantic, whimsical feel and we simply love the pop of red it creates in this divine editorial shoot.
Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram
Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com
… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu
..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, Zari
Na Andrew Chale wa MOdewji blog
Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.
Uchunguzi wa kina uliofanywa na Modewji blog kupitia mitandao kadhaa ya kijamii (Social network) imebaini wengi wa mastaa hao wana ‘akaunti’ ambazo kila kukicha wamekuwa wakitupia kazi zao na kuzipa promo.
Hata hivyo katika ‘kupekenyua’ huko kwenye mitandao hiyo licha ya mastaa hao kuwa na wafuasi wengi zaidi mara nyingi wamekuwa wazito kujibu kila wanapokuwa wanaulizwa na ‘fans’ wao kupitia ujumbe wanazotupia kwenye mitandao hiyo.
Diamond Platinumz.
Sukari ya warembo ambaye kila kona kila mahala hawaishi kusema jina lake staa huyu ambaye kwa sasa ameendelea kuingia mitaani hasa ‘Uswazi’ kwa kusema nao wanawake na wapekenyua pekenyua kupitia wimbo wake wa #NASEMANAWE, Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz ‘Chibu Dangote’ ndio anayeongoza kwa kuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao yake ya kijamii ikiwemo ya Instagram, Twitter na Facebook.
Diamond na Zari.
Idadi ya ‘fans’ wake Instagram
Hadi jana, Diamond kupitia akaunti yake instagram, ana followers 571K, huku yeye akiwa ameweza kuwafuata ‘fans’ following 425 tu, kwa upande wa Post, vitu alivyotupia ni zaidi ya 2049+. Hii ni hadi leo Aprili 14.
Rais huyo wa kundi la Wasafi (WCB ) katika kila post yake moja, inauwezo wa kuchangiwa maoni ‘comments’ zaidi ya 15,000.
Hata hivyo siku za hivi karibuni, Diamond kupitia kurasa yake hiyo ya Instagram amekuwa akipokea LIKE zaidi ya 15,000 pamoja na Comment zaidi ya 14,000 hasa baada ya kuanza kutupia picha za ‘promo yake mpya ya tukio la kihistoria linalotarajiwa kufanyika Mei Mosi mwaka huu.
Mbali na hilo, pia ameweza kupata LIKE zaidi ya 21,030 huku komenti zaidi ya 1107, baada ya kutupia picha akipigaana mabusu na Zari.
Posti yake aliyoweka wiki mbili zilizopita, iliyozua gumzo kuwa amefunga ndoa na Zari, hadi sasa posti hiyo ina LIKE zaidi ya 27,707+ huku ikiwa na komenti zaidi ya 5686….Hata hivyo, hadi hivi sasa bado watu wanaendelea kukomenti kwa kumpa hongera ya kufunga ndoa, licha ya kuwa sio ndoa bali ni ‘promo’ ya Mei Mosi mwaka huu… ‘Kalagha bao, kupenda chongo, mapenzi mzigo, mtu anashikilia msimamo wake kuwa hiyo ni ndoa ya kweli licha ya kumpa elimu kua haikuwa ndoa, basi anapiga kelele na wewe unayemwelimisha anakuona ni #teamKiba, ingia uone (Instagram-Diamond Platinumz).
Posti ya kwanza aliyoipost Diamond kwenye mtando wa kijamii wa Instagram, kama inavyoonekana.
Diamond alijiunga Instagram wiki 115 zilizopita (115W), na picha yake ya kwanza alijitambulisha yeye kama yeye huku akionyesha uzuri wa kifua chake kilichopaangika kwa six pack. Post hiyo ilipata LIKES 389 huku ikipata komenti 61.
post yake ya tatu za mwanzo mwanzo..
Post yake ya tatu kutoka siku ya kwanza kujiunga na Instgram, alipata LIKES 195 huku akipata komenti 11. Diamond LIKES zilianza kuongezeka kutoka kwenye 100 hadi 300 na 400, pale alipotupia picha akiwa na Mama yake mzazi.
Diamond aliibuka tena na LIKES ni pale alipotupia tena picha akiwa na bi mkubwa mama mzazi, akimbusu ambapo aliweka ile ya enzi za utoto ya ukubwani aliweza kupata LIKES 1,522 huku ikipata komenti 108.
Posti iiyoongeza LIKES nyingi zaidi kwa Diamond.
Baada ya hapo ikawa ndio habari nyingine kwani aliweza kufikisha LIKES 1000 hadi 2000, wakati Diamond anafikisha LIKES hizo, Wema Sepetu kwenye akaunti yake alikuwa na uwezo wa kufikisha LIKES 3000 hadi 5000 pamoja na komenti zaidi ya 800 hadi 1500. Mwendo huu uliendelea hadi kwa muda kadhaa huku Diamond akiendelea kujiimarisha, ‘Vishkwambi’ sio hii ya Huawei mimi nimeeleza tu, basi wakaanza kuongezeka huku wengine wakitoka kwa Wema na waliokuwa na bifu na Kiba wakabidi waungane na Diamond, waliokuwa na bifu na Wema dhidi ya Kajala wakaenda kwa Diamond ndio hali unayoiona sasa, Huu ni utafiti wetu MODEWJI BLOG, wala hauingiliani na utafiti wa chombo kingine kile.
Pichani ni baadhi tu ya majina yaliyotokea ukisachi kwenye ‘injini’ ya Instagram, ambapo chini ya majina hayo kuna majina mengine zaidi ya 20, yote ni Diaomond, paamoja #team/fans/
Mbali na kuongoza huko kuwa na wafuasi wengi, pia Diamond Platinumz jina lake limeweza kutumika kwa karibu ‘fans’ wake wengi ambao wamekuwa ‘adikted’ na msanii huyo ‘sukari ya warembo’.
Pia jina la Diamond Platinumz ‘Chibu Dangote’ limeongoza kwa kufunguliwa akaunti nyingi kupitia mitandao ya kijami hasa wa Instagram. Aidha kama sio mfuatiliaji wa mambo, unaweza kuingia kichwa kichwa pia ukatapeliwa kwani kupitia kutumia jina hilo, watu hao wameweza kujikusanyia fans wengi huku baadhi yao wakidhani ndio ukurasa wa Diamond Platinumz kumbe ni wajaanja wachache kwani kurasa hizo zimekuwa zikitupia ujumbe na picha zinazoendana na wakati swa sawa na zile anazotupia Diamond mwenyewe kupitia kurasa zake.
…Hapo akili kichwani mwako… kwani utafiti uliofanywa na Modewji blog, ulibaini kuwa, wengi wamekuwa wakifungua akaunti hizo kwa nia njema ikiwemo kumpa sapoti Diamond kutokana na kumpenda kwa kazi zake huku wengine wakienda mbali kuwa wamefungua hizi ili kupambana na mashabiki wa msanii Ali Kiba ambaye kila kukicha ugomvi wao huo umekuwa ukiendelezwa kupitia #TEAM.
Ali Kiba mwenye Followers 179K, ambaye baadhi ya wafuasi ‘fans’ wake walikimbilia kwa Diamond
Makundi ya #teamkiba na #teamDiamond yamekuwa yakikua kila kukicha kupitia mitandao ya kijamii ambapo kwa sasa kundi la #teamKiba limeweza kuongezewa nguvu baada ya kundi la #teamWema kujiunga na #teamKiba kumshambulia Diamond na Zari.
Patamu hapo, baada ya Modewji karibu miezi kadhaa sasa imeendelea kufuatilia makundi hayo, ambapo kuna ‘chembechembe’ kwa mbali #teamKajala nao waliweza kujichomeka kwa #teamZarithebossLady kwa lengo la kumshambulia #teamWema.
Hata hivyo, bado hajaeleweka kwa Diamond ambapo kuna wakati amekua akitupia picha za Wema Sepetu aliyewahi kuwa mpenzi wake, ambapo kila anapotupia picha ya Wema, post yake hiyo hujaa na komenti nyingi ambapo kila mmoja huonyesha ufundi wake wa kumuelezea mtu mmoja mmoja, utakuta ‘fan’ anaanza kuelezea sifa za Wema hapo hapo mwingine anajibu mapigo kwa kuelezea sifa za Zari the Boss Lady ambaye ni mchumba wa Diamond wa sasa.
Katika post hiyo hiyo inaenda mbali, unakuta mtu anaingizia ‘issue’ ya Ali Kiba ambapo wote wanaanza kubadilika na kuanza kumshambulia Kiba na ndipo timu Kiba nao wanajibu hali ambayo komenti zinakuwa nyingi zaidi.
Wema Sepetu mwenye Followers 530K, ambaye awali alikuwa mchumba wa Diamond, kabla ya kuachana. Wema ndie aliyekua akishikiria rekodi ya kuwa na wafuasi wengi zaidi ambapo kila Post yake hata kama ‘ujinga’ basi iliweza kubeba LIKES nyingi pamoja na komenti za kutosha kutoka kwa fans wake ambao wengi wao kwa sasa ndio hao wamehamia kwa Diamond na kwa Kajala Masanja (Utafiti).
Wengine wenye wafuasi wengi:
Zari the Boss Lady mwenye followers 309K, asilimia kubwa amekuwa si muongeaji kwani hata wakati mwingine ni #teamZari ndio wenye sauti kuliko yeye mwenyewe. #teamzari ndio wamekuwa mstari wa mbele kuongelea mambo ya Wema juu ya ugomvi wakati wawili hao wenyewe wanajuana lakini watu wenye uwelewa wao wanabainisha kuwa hizo ni njia ya kibiasharam kwani Zari ni mjasiliamari na kaja Tanzania ‘kuzichanga’ shoo ndio hiyooo Mei Mosi mwaka huu pale Mlimani City, jiandae nadhani umeona ‘NYEUPE’ hiyo ndio msemo wao katika shoo hii inayotarajiwa kuja hapo Mei Mosi, haata hivyo Kiingilio cha shoo bado Soon watakitangaza ila sasa ‘MUJIPANGE’.
Akaunti ya Zari mpenzi wa Dimaond, ana folllowers 309K, huku akiwa ame following 100, pekee na ametupia mapicha zaidi ya 2030.
Katika hao, 100, Zari aliweza following, Diamond mwenyewe ambaye ndie mpenzi wake, shemeji yake kwa Diamond, Romyjons, wifi yake Esmaplatnum na wengine wengi ikiwemo akaunti za watu wa karibu wanaofaanya shughuli za muziki na Diamond.
Pia amewa following watangazaji na wadau wa muziki wakiwemo wana habari.
Kajala Masanja mwenye Followers 320K, ambaye kwa sasa ‘amesimama’ pekee yake baada ya fans wake kukimbilia kwa Wema. Kwa sasa Kajala anaendelea na shughuli mbalimbali ikiwemo filamu, endelea kumtazama kwenye filamu mbalimbali kikubwa ni jinsi alivyo na aiba ya upole na uzuri wa matamanio.
Chege chigunda 144K, DJCHOKA 125K, Millardayo 394k, Sinta 34.6k, Vanessamdee 364k, Juma Jux 173k, AY 164k, Fidq 86.1k, Roma 96.3k, Mwanafa 200k, Khadija Mwanamboka 35.9k, Mwasiti Almasi 65k.
Wolper Gambe kama anavyopenda kujulikana hivyo, ana Followers 360K, ni miongoni mwa wasanii wa Filamu za Bongomovie ambaye ukiangalia filamu anazoigiza anazitendea haki, licha ya kuwa madairekta wengi kumpanga sehemu ambayo si sawa yake. Amekuwa akiigiza filamu nyingi za kushirikishwa lakini nafasi anayopewa anaitendea haki kiasi kuwa wamemuonea na hakuistahili kuwa hapo. Pia anamvuto wa kipekee pindi unapomuangalia kwenye filamu zake.. macho yake ya haiba, uongeaji wake na uzuri wake wa hasili, tafuta filamu zake.
Hbaba 53.1k, Kitale Mkude Simba 163k, Ali Kiba 179k, Tundaman 63.1k, Linah Sanga 203k, Jomakini 176k, Richmavoko 47.6k, Masanja mkandamizaji 70k, Sheta 153k.
Kajala Masanja 320k, Mbonishow 108k, Mashughuliblog 19.4k, Masogange 54.8k, Wemasepetu 530k, Stanbakora 49.3k, Malkia wa kichaga 104k, Wakazi 15.6k, Kidoti 23.4k, Riopoul 29.4K.
Millardayo ana Followers 394K, Mtangazaji wa Cloud Fm, pia ana Media yake binafsi ya Ayo Tv blog ya Millardayo.com, pamoja na Multichoice SA, Ni miongoni mwa watu maarufu kwa sasa Bongo. Millard Ayo kwa sasa bado anaendelea na ndoto yale ya kuelekea mafanikio makubwa hapa Tanzania, Hivyo Modewji blog inaendelea kumuombea kuyafikia hayo mafanikio Keep up Millard! Tupopamoja, mtu wetu wa NGUVU!!.
MwanaFa ana Followers 200K, ni msanii pekee ambaye kila mwaka akitoa ngoma kali
Pia wamo Martin Kadinda 204k, Petitiman 179k, Wolper 360k, Lemutuznational 57k, Allyrehmtullah 15.3k, Raqey14.4k, Adammchomvu 202k, Ladyjaydee 137k, Lulumichael 57.2k, Benpol 167k, Maishaclub 18.4k, Hamisa mabeto153k, Majizzo 15.3k, Barnaba 157k. na wengine wengi ambao tutawaletea katika utafiti wa mitandao ya Twitter na Facebook.
Adam Mchomvu ana Followers 202K, mtangazaji wa Cloud Fm, kipindi cha XXL, pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, pia kwa sasa yupo mbioni kwenda nchini China kusomea mambo ya ubunifu wa mavazi na mitindo, unaweza muita Baba John.
Adam Mchomvu ni miongoni mwa watu maarufu hasa kwa ‘Swagger’ anazotupia achilia mbali za Sauti ambazo imebainika kuwa wanaume wengi hasa vijana walikuwa wakizitumia swagger zake kutongozea wasichana. Pia amekuwa ni mtu maarufu hasa kwa baadhi ya misemo inayotumjika kuwa anaipaga kiki na kusambaa kwa kasi midomoni mwa watu hasa ile ya Serengeti Fiesta na anayokuwa akiitoaga kwenye kipindi cha XXL cha Cloud Fm.
Pia kama una habari na picha waweza kututumia kupitia Whatsapp +255 767 076376 au anuani zilizopo hapo juu.
Bongo wengi waoga kupiga picha kwenye zuria jekundu katika ‘Event’
Mama wa Mitindo Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Fabak fashions ya Mikocheni kwa Mwalimu Nyerer, Asia Idarous Khamsin akipita kwa madaha kwenye zuria jekundu.
Mama wa Mitindo, Asia Idarous anaeleza kuwa, desturi ya kupita kwenye zuria inampa muhusika kujiamini hasa akiwa kwenye muonekano wa aina yoyote ile. Hali hiyo imepelekea ‘event’ nyingi zinazofanyika hapa Nchini na nchi zingine kuwa na utaratibu maalum ikiwemo kupamba eneo la kuingilia ili wanaohudhulia tafrija ama tukio maalum kupita hao na kupata picha ya ukumbusho.
Hata hivyo Modewji blog, imekuwa ikifanya utafiti kwa muda mrefu ambapo imebaini kuwa wengi wa watanzania wamekuwa hawana desturi ya kupata ‘ukodaki’ yaani picha ya ukumbusho katika shughuli wanazohudhulia.
Licha ya kuwa wapo wanaopenda kupata picha kwenye zuria jekundu ‘red carpet’ bado muhitikio ni mdogo hasa kwa watanzania ambao wengi wao wamekuwa na hofu ya hali ya juu bila kujua wanachoogopea pindi wanapopita kwenye zuria jekundu kiasi kwamba mtu anayepiga picha hadi amlazimishe ama amlainishe kwa maneno matamu ndio utakuta anakubali kupiga picha hiyo ya ukumbusho.
Vitu ambavyo Modewji blog imevigundua
Wengi wa wanaohudhulia shughuli mbalimbali wamekuwa na ‘tabia’ ya kuongopa kuwa nimelala!,ama nipo sehemu fulani kumbe si kweli hayupo huko.
Pia inaelezwa kuwa, wapo baadhi ya wanaume ama wanawake ‘kujiachia’ na wenza ambao si wao hivyo pindi atakapopigwa picha akiwa na mwenza aliyefika naye hapo ni sawa na kujichongea.
Utafiti mwingine uliobainika ni kuwa baadhi yao kupita kwenye zuria jekundu na kupiga picha wanajihis kama hawajapendeza hivyo kujiona kama wao si lolote. Hii imekuwa ikiwakuta watu wengi sana lakini kwa hali ya kawaida halina nguvu sana kwani Mwanadada Siyani Fadea anayefanya shughuli za kusimamia shughuli za upambaji kwenye matamasha makubwa kwa Bara la Asia, kwenye makala yake moja alibainisha kuwa, red carpet imekuwa ikimpa mtu ujasiri mkubwa kwani asilimia kubwa baadhi ya mitindo, hutokea kupitia red carpet.
“Hivyo ambavyo unavyojiona umetoka nyumbani na kujiamini, basi ujasiri huo ndio unaokupa nguvu na haki ya kuwa bora zaidi ya wengine hasa unapopita kwenye zuria jekundu na kupiga picha kwenye wingi wa kamera na mastaa” alibainisha Siyad Fadea.
Siyadi Fadea alibainisha kuwa, ‘red carpet’ ni tukio muhimu na ambalo linatokea mara moja tu hivyomtu unapokuwa kwenye tukio na kuna red carpet basai ni muhimu wa kupata picha ya ukumbusho na pia ni kumbukumbu ya mwandaaji wa tukio kuona ni jinsi gani alivyoungwa mkono.
Dondoo zingine:
Wengi wa wandaaji wa shughuli ambazo zinakuwa na tukio la ‘Red Carpet’ wamekuwa wakijitahidi kugharamia kwa gharama kubwa ikiwemo kukodisha ‘zuria hilo jekundu’, Pia vifaa kama taa mbalimbali kwa ajili ya kukufanya uwe ang’avu, gharama ya za kukodisha vitendea kazi ikiwemo kamera na vinginevyo sidhani kama mtu kweli unakwepa kupita kwenye red carpet.
Wapiga picha: Kwa kawaida wapiga picha wanaopiga picha za matukio asilimia kubwa wanakuwa ni wale waliopewa haki miliki na mwandaaji wa tukio, pia shughuli zingine wapiga picha maalum ambao wao kazi yao ni kupiga na kusafisha hapo hapo ambazo unazipata picha zako baada ya kuisha kwa shughuli, wapiga picha hawa pindi kama picha yako ujaikomboa/kuinunua basi picha hizo ufutwa na kutengeneza picha zingine..
Aidha, kwa sasa licha ya wengi kuogopa kupita kwenye red carpet, suala la mitandao ya kijamii hasa Instagram na facebook, imekuwa chachu ya wengi kuanza kuibuka kwa kasi kupiga picha ili kutupia kwenye kurasa zake hizo za kijamii.
Rio Poul ‘The Stylish akiwa kwenye red carpet na rafiki yake ambaye naye ni mtaalamu wa kupangilia mavazi kwa models.
Msanii Diamond Platnumz alipokuwa Marekani alipata kupita kwenye Red carpet ambayo ilikuwa ni maalum kwa watu maalufu na mastaa pekee, ambapo yeye alikuwa ni miongoni mwao hali aliyopata chansi ya kusalimiana na kupata kuhijiwa na media kubwa za nchi mbalimbali duniani.
Wema akiwa kwenye ‘red carpet’.
Mr Flavour na kampani yake wakipita kwenye red carpet kwenye tuzo hizo.
Kwa leo, niishie hapa ila nitakuja na kingine Jumapili Ijayo: Kama una picha ama habari ya tukio lolote lile, basi tupigie 0719076376 au Whatsapp 0767076376 ama kupitia email na namba ya simu iliyopo hapo juu.
Waliong’ara kwenye red carpet uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa jijini Dar
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) katika picha ya kumbukumbu na Afisa Habari wa Shirika la UNFPA nchini, Sawiche Wamunza.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Yona Samo wa UNDP Tanzania.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akiendelea kupata picha za kumbukumbu na wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Clemence Lopa wa ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akiendelea na zoezi la picha.
Pichani juu na chini ni couples waliong’ara kwenye mnuso wa uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa uliofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto(UNICEF).
Pichani juu na chini ni baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini wakipata picha za kumbukumbu wakati wa uzinduzi wa shamra shamra za kusheherekea miaka 70 ya Umoja wa Mataifa zilizofanyika kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Picha iliyovunja rekodi kwenye red carpet za uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania. Pichani ni Laurean Kiiza wa UNIC Dar es Salaam
Asya Idarous, Gusagusa Min Band ndani ya Uingereza kufanya maonyesho Mei 2 na 3
Bana ya shoo hiyo ya Gusagusa Min band na Asia Idarous Khamsin itakayofanyika nchini Uingereza.
London, Uingereza
Mbunifu wa mavazi nchini ‘Mama wa Mitindo’, Asia Idarous Khamsin yupo nchini Uingereza akiwa ameambatana na magwiji wa muziki wa taarab kutoka Tanzania, Gusagusa Min Band ambao watafanya maonyesho makubwa ndani ya miji ya nchi hiyo ikiwemo London na Northampton.
Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo nchini humo, Kampuni ya Didas Entertainment ya Uingereza walieleza kuwa, shoo ya kwanza itakuwa Mei 2, katika viunga vya mji wa London na shoo nyingine ni Mei 3 katika mji wa Northampton ambapo kutakuwa na fashion shoo ‘Divas Catwalk’ itakayopambwa na Mama wa Mitindo, Asia Idarous.
“Gusagusa Min Band na Mama wa Mitindo, Asia Idarous, Tayari wapo ndani ya viunga vya Uingereza na wapo kamili kwa shoo kabambe Mei 2 ndani ya Empire Suite, London na shoo ya Mei 3, ndani ya Academy, mji wa Northampton. Gusagusa ipo full band nzima ikijumuisha wapiga vyombo wao” ilieleza taarifa hiyo kutoka Didas Entertainment.
Aidha, katika safari hiyo, Asia Idarous ameongozana na wadau wengine wakiwemo Mkurugenzi wa Gusagusa Mind Band, Hasan Farouk, gwiji wa taarab, Bi Afua Suleiman (muimbaji), Bi Mwanahawa Ally (muimbaji), Jaffer bhai (muimbaji), Khamis Chizi (master keyboard ) na Abdulla Ngonda (mpiga base) na wengineo wengi.
Mama wa Mitindo, Asya Idarous Khamsin (katikati) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Gusagusa Min Ban, Achun Baa na Hamis chizi ‘Master keyboard’ ndani ya viunga vya Milton Keynes UK (Uingereza).
Didas Entertainment imekuwa ikifanya shughuli mbalimbali za burudani ikiwemo kupeleka wasanii kutoka Tanzania na kupiga shoo nchini Uingereza pamoja na shughuli zingine za Sanaa ikiwemo filamu, wasanii wa filamu na uandaaji wa filamu, ambapo hadi mwaka huu imeweza kutimiza miaka 10, tokea kuanzishwa kwake.
Asia Idarous na waimbaji gwiji.
Asya Idarous ndani ya pozi kweney viunga vya Milton Keynes United kingdom
Kwa kuweka oda ya kupata tiketi ndani ya UK, whatsapp +447556171941 kwa ku reserve tables.
Asya Idarous na Didas fashions pamoja na Mwanahawa Ally
Achuu Baa meneja wa Gusagusa akiwa ndani ya ndege wakati wa kuwasili kwake ndani ya UK tayari kwa shoo hiyo Mei 2 na Mei 3.
Gusagusa Mind Band ndani ya UK wakiwa kamili na wenyeji wao.
Taarifa kwa Umma: Ufafanuzi juu ya kanuni ya uwianishaji wa Mafao ya Pensheni 2014
These Loafers Were Made for Commuting to Work
By Layla Ilchi
Wearing heels to and from work isn’t exactly practical, especially if you’re stuck relying on public transportation. You could go for a menswear-inspired flat or a sporty sneaker, but Everlane asks, Why choose? The brand’s latest creation, the Street Shoe, combines the shape of its Modern Loafer with the cushioning and sole of a sneaker. Its slim silhouette and ultra-lightweight design is comfy without looking out of place when paired with trousers or a sheath dress, especially in this black-and-white pattern. And if you really want it to pull double duty, it happens to look just as good with a pair of jeans on the weekends as well.
Street Shoe, $155 at Everlane.
Jennifer Lopez rocking the 2015 Billboard Latin Music Awards in Miami
MO akutana na Rais Filipe Nyusi wa Mozambique jijini Dar
CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.
Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!
Pichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa tuzo zao..
Na Andrew Chale, Modewji blog
Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Washindi hao ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi aliweza kupatikana kwa kura za wananchi , kama alivyonukuliwa mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Music Group, Luca Neghesti.
Washndi wa tuzo hizo za watu 2015 ni:
Mtangazaji wa redio anayependwa- D’Jaro Arungu – TBC FM.
Kipindi cha redio kinachopendwa- Papaso – TBC FM.
Mtangazaji wa runinga anayependwa– Salim Kikeke (BBC Swahili)
Kipindi cha runinga kinachopendwa- Mkasi (EATV)
Blog/Website inayopendwa- millardayo.com
Muongozaji wa video anayependwa- Hanscana
Muongozaji wa filamu anayependwa- Vincent ‘Ray’ Kigosi
Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa- Wema Sepetu
Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa- Hemedy PHD
Mwanamuziki wa kike anayependwa- Lady Jaydee
Mwanamuziki wa kiume anayependwa- Ali Kiba
Filamu inayopendwa- Kigodoro
Video ya muziki inayopendwa- ‘Nani kama Mama’– Christian Bella Feat. Ommy Dimpoz
Baadhi ya washindi wakiwa na tuzo zao, kutoka kushoto ni Msanii bora wa kike, Lady Jaydee akifuatiwa naa Ommy Dimpoz. anayefuata ni dada wa mwanamuziki Ali Kiba aliyempokelea tuzo kwa niaba yake akifautiwa na Millard Ayo.
mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Music Group, Luca Neghesti ambao ndio waandaji wa tuzo hizo akielezea machache kwenye redcarpet juu ya tuzo hizo na kituo cha About Bongo.com ambao ni Online TV.
‘crew friends’ marafiki KN na NS wakiwa pamoja na marafiki zao katika redcarpet katika tukio la utoaji wa tuzo za watu 2015
Mtangazaji wa radio ya Taifa ya TBC FM, Djaro Alungu ambaye aliibuka na tuzo mbili kwa mwaka huu na kuvunja rekodi ya aliyekuwa mtangazaji mwenzake, Millard Ayo, akiwa na tuzo zake pamoja na crew yake.
Mtangazaji wa BBC SWAHILI, wa Dira ya Dunia, Salm Kikeke akitoa nasaha kwa waliofika wakati wa kupokea tuzo yake hiyo,
Mwanamuziki Ommy Dimpoz akiwa katika pozi na Andrew Chale, Mwandishi Mwandamizi wa Mtandao huu wa Modewjiblog.com muda mfupi baada ya kupokea tuzo yake.
Baadhi ya warembo waliopamba usiku huo wa tuzo za watu 2015 chini ya usimamizi wa Ally Rehmtullah (katikati) wakiwa katika pozi..
Tuzo za Filamu Tanzania 2015 zafana Dar wasanii kibao wazoa tuzo











Stunning Seaside Murals While Balancing On A Surfboard
Hawaii-born painter and street artist Sean Yoro (a.k.a. Hula) has created a stunning series of street art murals depicting women emerging from the water along the concrete walls of ruined and abandoned structures. At home on the water, he paddles on a surfboard to reach the best locations for his art, even managing to balance his paint cans as well.
Before the NY-based artist unveiled these stunning street art murals on his Instagram, he had already made a name for himself with his beautiful portraits of women painted on canvas and even on old surfboards.