Quantcast
Channel: Fashion – DEWJIBLOG
Viewing all 244 articles
Browse latest View live

Maandalizi ya uzinduzi wa Manjano Foundation yakamilika

$
0
0
 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama  Shekha Nasser Katikati  akiongea na Vyombo vya Habari leo wakati akelezea Mandalizi ya Uzinduzi wa Manjano Foundation Ambao ni Mpango unaolenga kuwawezesha Kutoa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa Wasichana wa Kitanzania.Mpango Uzinduzi huu utafanyika tarehe 31 Mei 2015 kuanzia saa 6 mchana kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall.

Utatoa fursa kwa kuendeleza mtandao wa kibiashara kwa kina mama na pia mada mbali mbali ya jinsi ya kujikwamua kimaisha itatolewa. Bila ya kusahau mafunzo ya jinsi ya kutumia vipodozi..Mgeni Rasmi anategemewa Kuwa Mke wa Waziri Mkuu Mh Mama Tunu Pinda

Meneja Mradi wa Manjano Foundation Mama Gugu Ndolvu akieleza jambo leo wakati wakiongea na wanahabari kuhusu Mradi huo ambao ni Mkombozi kwa wakinamama wasio na Ajira Akiwa samabamba na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama Shekha Nasser Pamoja na  Aunty Sadaka Gandi

Aunty Sadaka Gandi akiwa ni dada mkuu wa atakayewashauri wasichana watakaopata mafunzo ya ujasiriamali kupitia Manjano Foundation.

Wasichana waliochaguliwa kunufaika na Mpango huo wakiwa Katika Picha ya Pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear illusions Ltd. Mama  Shekha Nasser 

Shear Illusions inasherehekea mwongo mmoja wa urembo nchini Tanzania kwa kuzindua vipodozi vyake ijulikanayo kama LuvTouch Manjano!

Uzinduzi huu utafanyika tarehe 31 Mei 2015 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee VIP Hall.

Shamrashamra hizi pia itatoa fursa kwa kuendeleza mtandao wa kibiashara kwa kina mama na pia mada mbali mbali ya jinsi ya kujikwamua kimaisha itatolewa.

Bila ya kusahau mafunzo ya jinsi ya kutumia vipodozi.

Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda na mtoa mada mkuu atakuwa ni Balozi Mwanaidi Majaar.

Shear Illusions, imeweza kutambulisha urembo na muonekano wa mwanamke wa kitanzania kwa Zaidi ya miaka kumi. Wamebaisha urembo kuanzia kujipodoa, nywele, vipodozi na vito hadi blog na jarida inayoelezea masuala ya urembo.

Baada ya kuuza bidhaa mbali mbali ya urembo toka nchi mbali mbali, Shear Illusions inazindua rasmi bidhaa yake ya LuvTouch Manjano.

LuvTouch Manjano ni maalum kwa ajili ya kumpendezesha mwanamke wa kitanzania. Kuna aina kumi ya vipodozi msingi kuanzia Mwanzi na Mpodo hadi kahawa na ardhi. Bidhaa hizi zimezingatia hali ya hewa ya joto. Vipodozi hivi vinalengo la kuongeza muonekano wako kwa hali yoyote.

Shear Illusions inazishukuru kampuni zifuatazo waliojitokeza kusaidia hafla hii ya kuwawezesha wanawake; NSSF, TCRA, Clouds Media, Maxcom, A1 Outdoor, Mr. Price, Cassandra Lingerie, Amina Design, Maznat Bridal, Advertising Dar, Beauty Point, Hugo Domingo, I-View Media, FAIDIKA, Benchmark Productions, Fasta Fasta, TENSHI, Jardin Modeling Agency na mashirika mbali mbali hapa Dar es Salaam.


Sheria Ngowi awataka wanamitindo wanaochipukia nchini kujitambua

$
0
0

ndo sheria

Sheria Ngowi pembeni yake ni Aj Mynah ambae ni Mkurugenzi wa Black Fox Model Afrika na anaefuata ni Ednda Ndebalema wa Ndibs Makeup wakizungumza na wanamitindo hao katika mafunzo yaliyoandaliwa na Black Fox katika klabu ya Paparaz iliyopo Sleep Way Masaki.

IMG_6577

Sheria Ngowi akiwafunda somo wanamitindo.

IMG_6596

IMG_6560

Wakapata nafasi ya kupiga nae picha.

IMG_6550

Wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Na Evance Ng’ingo

WANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili kupata soko la ndani na nje ya nchi.

Wito huo ulitolewa jana na Mwanamitindo mahiri wa mavazi nchini Sheria Ngowi wakati akizungumza na Wanamitindo kutoka kampuni ya Black Fox Model Africa.

Ngowi pamoja na mtaalamu wa urembaji Edna Ndibarema wa kampuni ya Ndiba Style walialikwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, ya Black Fox Model Africa, Aj Mynah kuzungumzia fursa zilizopo katika tasnia hiyo.

Ngowi aliwataka wanamitindo kuichukulia kazi hiyo kuwa ni sawa na kama kazi nyingine zenye kipato licha ya kuwa kwa hapa nchini ni fani ambayo inazidi kukua kwa kasi.

Alisema kuwa akiwa kama mwanamitindo ametembea nchi mbalimbali kuonesha mavazi na amekutana na wanamitindo mbalimbali wa kimataifa ambao walianza kufanya kazi hiyo wakiwa kama wanamitindo wa kawaida.

Alisema kuwa ili wanamitindo wa Tanzania nao kufikia hatua kama hiyo wanatakiwa kuwa na mikakati mingi ya kujitangaza ambapo aliwataka kutumia zaidi vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kujitangaza.

Alisema kwa kwa kutumia mitandao kama Twiter, Facebook, Instagram pamoja na tovuti nyingine mbalimbali kubwa wanamitindo wanaweza kujijengea jina na kutumiwa na makampuni mbalimbali kutangaza biashara zao.

Aliongeza kuwa pia wanatakiwa kuwa na kitabu maalumu chenye picha na nakala zao mbalimbali zinazoelezea kuhusiana na urefu wao, urefu wa kiuno, urefu wa nywele na mengineo muhimu ili wazitumie kujitangaza kirahisi zaidi katika mitandao ya kijamii au hata kuwa nayo wenyewe.

” Kikubwa ni kujua namna ya kujitangaza hasa zaidi kujionesha utoafuti wako wewe na wanamitindo wengine na kinachotakiwa ni kujitangaza na ili kufanikisha hilo yapo mambo mengi ya kuzingatiwa ili kutimiza ndoto hizo” aliongeza mwanamitindo huyo.

Kwa upande wake Edna Ndibarema aliwataka wanamitindo kuzingatia suala zima la usafi hasa katika kujiandaa wakati wa shoo, usafi wa mwili pamoja na kuimarisha haiba ya sura zao.

Alisema kuwa wanamitindo wengi wanashindwa kujitambua thamani yao na kujikuta wakitumiwa vibaya na watu mbalimbali kwa matamanio ya mwili na mengineo.

Taswa FC kujipima na Baobab Sekondari

$
0
0

taswa fc

Mchezaji wa timu ya soka wa waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC), Martin Peter (jezi ya kijani kulia) akipambana na mmoja wa wachezaji wa timu ya makipa, Ivo Mapunda.

Baobab Staff pic1-1

Kikosi cha Baobab.

Na Mwandishi wetu

TIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC) Ijumaa hii itacheza mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya timu ya wafanyakazi wa shule ya sekondari ya Baobab ya Bagamoyo.

Mchezo huo umepangwa kuanza saa 10.00 jioni kwenye uwanja wa shule ya sekondari ya Baobab na tmgeni rasmi atakuwa mkurgugenzi wa shule hiyo, Hlafan Swai.

Mbali ya Swai, viongozi wengine wa shule hiyo watahudhuria mechi hiyo maalum kwa ajili ya kuhamasisha michezo shuleni hapo.

Mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary amesema kuwa awali walipanga kucheza mechi mbili, ya wanaume (mpira wa miguu) na wanawake (netiboli), hata hivyo wachezaji wa Taswa Queens hawakuweza kuanza mazoezi na hivyo kulazimika kufuta mechi hiyo.

Majuto alisema kuwa wamepokea maombi kutoka uongozi wa shule hiyo na hasa baada ya kutoa mwanafunzi bora kitaifa katika mtihani wa kidato cha nne, Nyakaho Marungu. Alisema kuwa wamehamasika kupata mwaliko huo ambapo mechi hiyo itakuwa kama sehemu ya sherehe ya kufunga shule.

Baadhi ya wachezaji wa Taswa FC wakataokuwepo katika mechi hiyo ni Ali Mkogwe, Wilbert Molandi, Salum Jaba, Deogratius “Super Deo” Maganga,  Julius Kihampa, Sweetbert Lukonge, Elius Kambili, Zahoro Mlanzi, Frank Balile, Mwarami Seif, Saidi Seif, Jose, Martin Peter, Athuman Jabir, Muhidi Sufiani na  Jabir Johnson.

Baadhi ya wachezaji wa  timu ya wafanyakazi wa shule hiyo ni John Kanakamfumu, Herry Morris (kocha wa timu ya wanafunzi), Renatus Kavishe, David Ntungi, Hadji Juma, Madata Lubigisa, Athuman Tippo na wengineo.

“Huu ni mchezo wa kudumisha ushirikiano wetu kwani sisi ni waandishi wa habari za michezo na pia ni wazazi, hivyo tunaweza kuwapeleka watoto wetu kusoma kaika shule hiyo bora, hivyo nawaomba wachezaji wote wafike kwa wingi ili kuona mechi hiyo ya aina yake,” alisema Majuto.

Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii

$
0
0

258270_465050636851038_395823295_oAlbert Manifeter katika pozi..

Na Andrew Chale, modewjiblog

Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa  upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika  ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.

Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka huu aliweza kurudisha fadhaila zake kwa jamii kwa kufanya tukio kubwa na la kihistoria  kwa kutumia kazi yake ya mikono za upigaji picha na kuzifanyia maonyesho  huku asilimia 50, ikiipeleka kusaidia jamii.

Katika tukio hilo,  kilipatikana kiasi cha shilingi milioni kumi na laki Tatu ambapo asilimia 50 ya mauzo hayo yalitolewa ili kusaidia huduma ya afya ya uzazi katika kijiji cha Kipamba kinachoishi watu wa jamii ya Wahadzabe.

Manifester anaamini  kuwa siku zote picha inaongea haraka zaidi kuliko maneno, hivyo anaamini kupitia jicho lake,  atabadilisha maisha ya watanzania wengi, huku kwa sasa akianza na watanzania jamii ya Wahadzabe kuboresha huduma ya afya ya uzazi kwa wakina mama.

Halfa hiyo ya kipekee,  ilinogeshwa pia na aliyekuwa Mgeni rasmi Mkuu wa chuo cha Kiislamu, Morogoro,Mama Mwantum Malale.

Nchini Tanzania hakuna asiemfahamu Albert Manifester, kwa masuala ya upiga picha kutokana na kazi yake ya kipekee. Vile vile kipaji chake na kujituma kwake kumemuwezesha kupata kazi nyingi katika nchi mbali mbali.

_L0A4188

Manifester (mwenye shati jeusi) akionyesha moja ya kazi zake, kwa mgeni rasmi, Mkuu wa chuo kikuu cha kiislamu Morogoro, Bi Mwantum Malale (mwenye kitambaa cha bluu)..

Mahojiano kama ifuatavyo:

  1. Ulianzaje Upiga picha na lini?

2009 nilipokuwa chuoni Tumaini University Iringa nilipata nafasi yakusoma course ya Tourism ambayo ndani yake nilipata nafasi ya kusoma Wildlife photography,lakini mbali na hapo 2004 ndio mwaka ambao rasmi nilianza kupiga picha kwakutumia simu yangu ambazo mara nyingi nilikuwa nikizifanyia editing kwenye photoshop,nilianza na Graphics ndipo photography ikafuata baadae 2009.

11011565_913955885293842_4338903910922539335_n

Albert Manifester akiwa katika pozi na moja ya kazi yake…

  1. Vikwazo gani(challenges) ulikwisha pata katika kazi yako ya photography?

Gharama za vifaa nikikwazo kimoja wapo,lakini pia bado jamii yetu haijui thamani ya picha na pia wapiga picha wenzetu bado hawafanyi kazi ya kupiga picha kama ni kazi ya maisha,hii ni changamoto kubwa kiasi hata tunao wapa huduma hawawezi kutuelewa kama tunachotoa kwao ni cha muhimu au lah!

Chanagamoto nyingine ni kwamba kwa sasa photographers wamekuwa wengi hii inasababisha hata jamii kuona kama fani hii ya upiga picha kila mtu anaiweza ndio hata heshima ya kazi inakuwa ngumu hata kumwambia mteja una charge 3Ml kwaajili ya photo atashangaa nakusema mbona yupo anafanya kwa 100,000/-.Lakini suluisho la changamoto hizo lipo mikononi mwetu sisi wenyewe wapiga picha kuthamini kazi yetu na kuto ruhusu watu kufanya kazi yetu kama sehemu ya mzaha,kazi yetu lazima iheshimike kama watu wa Bank,Askari na wengine wanavyo heshimika, hii italetwa tu endapo wenyewe tutaheshimu tunachokifanya.

10917867_851984234824341_4430000348720891204_n

  1. Nini haswa unafurahia zaidi katika kazi yako?

Nafurahi kutunza kumbukumbu za matukio tofauti katika maisha yangu na ya watu ninao wafanyia kazi,Pili nafurahia kuona kazi yangu sasa inaweza kuwasaidia wanachi wenzangu kubadili maisha yao hii nikiwa na maana kwamba kwakutumia picha za maisha yao halisi inasaidia watu wengine kuelewe ni nini wanapitia hivyo hata katika kuelimisha inakuwa rahisi na hata kupata misaada kirahisi.

_L0A4411

Manifester (kushoto) akiinada moja ya picha zake kwa watu waliojitokeza  kwenye halfa maalum ya kazi zake za picha ambapo asilimia 50 ziliienda kusaidia jamii,. Kulia ni Mkuu wa chuo kikuu cha Kiislamu Morogoro, Bi. Mwantum Malale..

  1. Upiga picha kwako ni kazi zaidi au fani zaidi? Na unatarajia kufanya upiga picha kwa muda gani?

Upiga picha kwangu ni maisha,siku zote ukipenda unachokifanya nakukifanya huku ukiwa unafurahia huwezi kukichoka,inakuwa rahisi pia kugundua vitu vingi katika kazi yako na kuto choka unachokifanya.

…Na mwishoni kabisa maneno machache ya kuwamotisha followers wetu.

Naamini siku zote ukijiwezesha mwenyewe utaweza na sio kuwezeshwa,Joe Buissink aliwahi kusema sikuzote wekeza kwenye ujuzi wa unachokipenda ndipo pesa itafauta,usifanye kwasababu unataka pesa ila fanya kujifunza alafu mwengine yatafuata taratibu.

11267995_911037182252379_4022754049193263142_o

Manifester akiwa na moja ya kazi zake…

_L0A4247

Manifester akihojiwa na kituo cha  Utangazaji cha Taifa , TBC

_L0A4414

_L0A4464

Moja ya picha ya pamoja wakati wa tukio la kazi zake kwa ajili ya kusaidia jamii lililofanyika hivi karibuni..

Pia kwa taarifa zaidi na kwa mahitaji ya kazi kwenye shughuli yako waweza kuwasiliana naye kupitia anuani zake zinazopatikana kupitia link hii: http://www.manifesterbrand.co.tz/

Vyama vya waongoza watalii na wapagazi Tanzania watoa siku 30 kwa serikali kushughulikia madai yao

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha waongoza watalii mkoa wa Kilimanjaro (KGA), Respicius Baitwa akizungumza katika mkutano wa vyama vinayofanya shughuli za Utalii katika hifadhi za taifa juu ya kusudio la kutaka kusitisha kutoa huduma katika hifadhi kutokana na malalamiko yao kutofanyiwa kazi hadi sasa.
Baadhi ya wajumbe walioshiriki mkutano huo uliofanyika katika Hotel ya Uhuru mjini Moshi.
Katibu wa KGA, James Mong’ateko akizungumza katika mkutano huo.
Wajumbe wengine wa vyama vinayofanya shughuli za utalii katika hifadhi za taifa ikiwemo mlima Kilimanjaro.
Mwanasheria wa Chama cha waongoza watalii mkoa wa Kilimanjaro (KGA) Elikunda Kipoko akitoa ufafanuzi wa kisheria katika mkutano huo.
Mmoja wa wajumbe katika mkutano huo akichangia hoja juu ya kusudio la kutaka kuhitisha mgomo kwa lengo la kudai maslahi yao.
Mkutano huo ulitoa siku 30 kwa serikali kutekeleza mambo mawili moja likiwa ni kutoa taarifa juu ya kikosi kazi kilichoundwa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kufuatilia kero mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutaka kuonana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.(Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini).

Wema Sepetu aanza safari ya kuwania Ubunge wa Viti maalum Singida

$
0
0

Wema

Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Bi Wema Sepetu akipokea maelekezo kutoka kwa katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Bwana Alluu Ismaili Segamba kabla ya kuongea na wananhi pamoja na wanachama waliohudhuria kwenye mkutano huo. (Picha zote na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly,Ikungi     

Hatimaye aliyewahi kuwa, Miss Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Wema Spetu ameanza safari maalum ya kuwania nafasi ya Ubunge kupitia chama cha Mapinduzi Mkoani Singida, ambapo ni chimbuko la Mama yake Mzazi.

Wema yupo aliwasili Mkoani Singida huku akifanya harakati mbalimbali za kichama ikiwemo uhamasishaji wa  Wananchi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura.

Aidha, wakati wa safari hiyo ya Wem alipata wasaha wa kuhudhuria mkutano mkubwa wa hadhara, uliofanyoka katika viwanja vya Ghafla.  Katika mkutano huo,  kwa upande wake Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi, Aluu Ismaili Segamba alisikitishwa na hali ya shule ya sekondari ya kata ya Ikungi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida kutokana na kuwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na kukosa choo cha wanafunzi pamoja na walimu wa shule hiyo kwa muda mrefu sasa.

Segamba alitoa kauli hiyo kwenye mkutano  huo na kufafanua kuwa hali ya shule ya sekondari Ikungi hivi sasa ni mbaya sana kutokana na wanafunzi pamoja na walimu wao kutokuwa na sehemu za kujisaidia kufuatia viongozi na wazazi wa shule hiyo kushindwa kujenga matundu ya vyoo kwa ajili ya matumizi ya shule hiyo.

“Akazungumza Sigamba na magamba sijui na kitu gani tumeenda shule,kwanza nikiri ni kweli nimeenda kwenye shule ya sekondari ya Ikungi nimekula chakula na wanafunzi na walimu,lakini hali ya shule ya sekondari ya Ikungi ni mbaya shule itafungwa kwa kukosa vyoo”alisema kwa kujiamini Segemba.

“Kama wazazi mpo hapa,kweli siyo kweli…kweliii,shule itafungwa pale kwa kukosa vyoo halafu mna mbunge anakataza michango,sasa pale naenda kujisaidia mimi au watoto wenu?”alihoji katibu huyo huku akionyesha kukerwa na hali hiyo.

Alisema shule kukosa vyoo ni suala la aibu wanafunzi pale wa kidato cha nne na tano hawana pakujisaidia,halafu anakuja kulalamika kuwa katibu wa CCM ameenda pale shuleni kutafuta kura,jambo ambalo hakuwa tayari kukubalinanaalo.

Naye Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Wilaya ya Ikungi (MNEC),Jonathani Njau aliwakumbusha wakazi wa kata ya Ikungi juu ya umuhimu wa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapigakura,ili wakati ukifika wajitokeza pia kupiga kura.

“Lakini tunatakiwa tukajiandikishe kwa wale ambao tuna sifa

ya kupiga kura,kwani watu wengi wanadhani zoezi la kujiandikisha ni la kisiasa siasa tu,la mzahamzaha si kweli.”alisisitiza mjumbe huyo.

Hata hivyo Njau pamoja na kutokuwepo kwa mikakati yeyote madhubuti ya kulirudisha jimbo hilo kutoka CHADEMA,lakini alijikuta akitamba kuwa mwaka huu CCM bado kitashinda na hapo Ikungi ndiyo watashinda zaidi.

“Kama mlidanganywa zile sarakasi za 2010 mwaka huu hakuna,hazitakuwepo na rafiki zangu,nawabip vijana wa Ikungi kuwa uhuni mlioufanya mwaka 2010,mwaka huu mlie tu,CCM ya mwaka huu imejitosheleza”alisisitiza Njau.

wer

Msanii wa Bongo Movie na Miss Tanzania 2006,Bi Wema Sepetu katika mapokezi yake alipofika kwenye viwanja vya ghala ulipofanyika mkutano wa hadhara.

wev

Miss Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Wema Spetu(wa pili kutoka kushoto) akishiriki kuimba wimba wa kimila mara baada ya kukaribishwa kwenye mkutano wa hadhara ulioandaliwa kwa ajili ya kuwahamasisha wananchi kujiandikisha

More Creative Cups And Mugs!

Wenyeviti wa vijiji watakiwa kufuatilia shughuli zinazofanywa na waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao

$
0
0

SAM_0016

Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kutoka kulia) akiwasilisha mada mbalimbali kwenye semina elekezi kwa waganga wa tiba mbadala, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na watendaji wa vijiji wa kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani Mkalama.

SAM_0024

Baadhi ya waganga wa tiba mbadala na viongozi wa serikali za vijiji wa Kata ya Kikhonda wakimsikiliza mtoa mada katika semina elekezi iliyofanyika katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kikhonda.

SAM_0029

Polisi kata ya Kikhonda,Marco John (aliyeinama mezani akiandika) akipokea maelezo kutoka kwa waganga wa tiba mbadala waliokuwa wamewekwa chini ya ulinzi kutokana na kufanya kazi bila kuwa na leseni zinazowaruhusu kufanyakazi hiyo akiwa na katibu msaidizi wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida,Bwana Omari Majengo(wa pili kutoka kushoto aliyesimama).

SAM_0017

Mratibu wa Tiba Asilia kutoka Hospitali ya wilaya ya Iramba,Bi Rhoda (wa kwanza kutoka kulia),Afisa Muuguzi wilaya ya Mkalama,Bwana Ephraimu Kafilimbi (wa pili kutoka kulia) na Mratibu wa CHAWAMAMU wilaya ya Iramba, Bwana Samike Jisinza Jinasa (wa kwanza kutoka kushoto).

SAM_0031

Katibu wa CHAWAMAMU wilaya ya Iramba,  Bwana Samike Jisinza Jinasa(wa kwanza kutoka kulia) wakiwa na mmoja wa waganga wa tiba mbadala, Bi Amina Yohana au maarufu kwa jina la “NYALILI”.

SAM_0018

Afisa muuguzi wilaya ya Mkalama,Bwana Ephreimu Kafilimbi (wa kwanza kutoka kushoto) wakiwa na Mratibu wa Tiba Asilia kutoka Hospitali ya wilaya ya Iramba, Bi Rhoda(wa kwanza kutoka kulia).

SAM_0012

Baadhi ya viongozi wa serikali za vijiji na watendaji wa vijiji wakimsikiliza mtoa mada kwenye semina hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly, Mkalama        

WENYEVITI wa vijiji na vitongoji wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama,Mkoani Singida wamekumbushwa juu ya umuhimu wa kuwafanyia utafiti waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao ili waweze kufahamu kikamilifu shughuli zao wanazofanya.

Katibu wa Chama Cha Watafiti wa Maleria Sugu,Ukimwi na Mazingira Tanzania(CHAWAMAMU)Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa aliyasema hayo kwenye semina elekezi ya operesheni tokomeza mauaji ya albino na vikongwe katika kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani hapa.

“Lazima tuwahakiki hawa waganga wa tiba mbadala na tuwe karibu nao ili kuhakikisha kazi zao wanazofanya…tuko pamoja,lazima tuwe karibu nao tuhakiki kazi wanazofanya tuwe tunazifahamu yawezekana mko nao Kijijini lakini kazi anazofanya huzijui”alisisitiza Dk Likapakapa

“Na kama wewe huwezi kwenda pale tumia hata watu wengine wanaoenda kutibiwa pale watakuletea habari zinazojitosheleza,kwa hiyo hapo tutakuwa tumetokomeza mauaji”alifafanua katibu huyo wa Chawamamu.

Dk. Likapakapa ambaye pia ni Mjumbe wa Kitaifa wa operesheni tokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na vikongwe alibainisha kwamba kwa kufanya hivyo kutakuwa na mafanikio ya operesheni hiyo ya kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi(albino) na vikongwe nchini.

Kwa mujibu wa mjumbe huyo waganga hao wa tiba mbadala wamekuwa wakijidai kwamba wana uwezo wa kufufua watu waliokufa,ambao aliwataja baadhi yao kuwa ni kama vile lambalamba,manyaunyau na kamchape wanaosema kuwa wao wana uwezo wa kufufua watu na kuwatolea uchawi.

“Lakini kitu kingine waganga ninyi mnasema mna uwezo wa kufufua watu,kuna waganga wanakuja wanajiita kamchape, kina lambalamba, kina manyaunyau wanasema wao wana uwezo wa kufufua watu na kumtolea mtu uchawi’alisema Dk. Likapakapa.

Hata hivyo Dk.Likapakapa alitumia fursa hiyo kuwatahadharisha viongozi wa ngazi zote serikalini kwamba hakuna leseni yeyote ile inayotolewa na serikali inayotamka kwamba kuna mtu anayeweza kufufua mtu,na hakuna leseni inayosema kwamba kuna mtu anayeweza kumtoa uchawi mtu mwingine.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kijiji cha Kikhonda, Cosmasi Ngura alitaka kufahamu kuwa watu wanaowafanyia tohara watoto wadogo,wao nao kama watalazimika kuhudhuria kwenye semina hizo elekezi.

Naye Afisa mtendaji wa Kijiji cha Kikhonda, Fanueli Mkumbo aliwasilisha ombi la kuitaka serikali kusambaza vipeperushi vyenye kueleza mambo yasiyoruhusiwa kufanywa na waganga wa tiba mbadala ili wao kama walinzi wa amani waweze kuyafahamu pamoja na kuyasimamia kikamilifu.

Rajabu Mtitu au maarufu kwa jina la “Hongoa”ambaye ni mwenyekiti wa kitongoji cha Kikhonda alisema katika miaka ya nyuma makabila mbali mbali wakiwemo wanyaturu walikuwa wakifanya matambiko ya kimila kwa kutumia pembe za ndovu na kongoni,je kwa sasa serikali itawasaidiaje ili waweze kuendeleza mila zao.


South African model Thando Hopa revels in her albino skin

$
0
0

Part-PAR-Par8210763-1-1-0Thando Hopa akiwa katika shuguli zake za model….

Johannesburg (AFP) – Thando Hopa grew up in the shade, her porcelain skin protected by long sleeves and sunscreen until the day the South African decided to fight prejudice against albinos by becoming a model.

Petite and born with an inherited depigmentation of her skin from head to toe that can lead to discrimination and even death, Hopa entered the fashion world without the usual vital statistics required of a catwalk model.

Ghostly, with no make-up bar vivid fuchsia on her lips and hair sculpted to a magnificent bleached height, she exploded onto the cover of the first Forbes Life Africa back in 2013.

“It’s one of the most beautiful pictures I’ve had taken,” says Hopa, though it took years for her to grow comfortable with a bare face, her pale eyebrows almost invisible.

“I was much younger then. I could never go out without make-up… But as time goes on, your confidence just grows,” she says. “It took years for me to get to a point where I could walk around without make-up.”

Hopa is a lawyer operating in the heart of Johannesburg, not far from the offices where Nelson Mandela worked as an attorney in the 1950s.

– ‘The most beautiful little girl’

Part-PAR-Par8210768-1-1-0Thando Hopa akiwa katika shuguli zake za model….

“I had been approached to do modelling before, but I didn’t go for it because I never saw the benefits. I thought, ‘It’s such a shallow profession — why would I want to do that? I am a lawyer.'”

But after crossing paths with designer Gert-Johan Coetzee in downtown Johannesburg in 2012, she began thinking differently.

“Gert came to me and asked me if I would like to do a shoot and I said I would consider it,” recalls Hopa. “And then I spoke to my sister. And my sister said to me, ‘Don’t look at modelling as modelling. Look at it as an opportunity for you to actually change perception of albinism. Remember how you grew up. Remember how people really treated you.'”

The third born in a family of four children –- her youngest sibling was also born with albinism –- Hopa grew up with seemingly little to complain about, doted on by a filmmaker mother and an engineer father who never missed a chance to tell her she was “the most beautiful little girl”.

Thando Hopa grew up in the shade, her porcelain skin protected by long sleeves and sunscreen until 

Part-PAR-Par8210761-1-1-0Thando Hopa akiwa katika shuguli zake za model….

But even in South Africa, where reports of albinos being murdered and their organs trafficked are extremely rare, she encountered prejudice and misunderstanding.

Strangers hugged her as a symbol of good luck, others spat to fight her bad luck. Teachers misread her poor eyesight -– a side effect of albinism –- as her being mentally challenged.

– ‘When you were born I was shocked’

Hopa uses a magnifying glass to read, is not allowed to drive, and shuns stilettos. So her first jaunt down a catwalk was something of a miracle.

“The dress was gorgeous –- black and green. I can tell you, I have never felt so expensive in my life. But I was actually so scared because in essence that was the first time I really walked in heels. I was even saying a little prayer when I was walking, ‘God, please don’t let me fall on this catwalk!’ I was absolutely frightened.”

For all it’s brought her now, there was a time when Hopa was distressed by the realisation that she was different, when as a self-conscious girl of 12, increasingly aware of boys and her changing body, she ran to her father in tears.

“I came crying, and I said, ‘Why am I not like other children? Everybody makes fun of me and I have to wear these stupid hats, and I always have to put on sun cream.’ And I was crying and crying.

“And you know, my father is a wonderful man, but he doesn’t really know how to deal very well with emotions. So he looked at me, and said, ‘My child, let me be honest with you: when you were born, I was also shocked!'”

It’s a memory she can laugh at now she’s 25 and confident.

“On that day, more than anything, I wondered if my life would be different, if people would have treated me differently. But I could never picture myself looking different even now.”

You Won’t Believe How Old This Woman Really I

$
0
0

you_wont_believe_how_old_this_woman_really_is_640_16

Pamela Jacobs, below pictured here aged 29, has changed little over the years. Look at her now and her real age will shock you.

You Won’t Believe How Old This Woman                               Really Is

Pamela Jacobs is a beautiful woman and credits a healthy diet and lots of coconut oil for her youthful appearance. Although she actually has a grown up son in his twenties she often gets confused for her girlfriend even though she is actually 52 years old already.

You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is

Pamela says one of the secrets of looking young is smiling lots and enjoying life.

You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is

She maintains her skin by always wearing sunscreen and exfoliating every other day.

You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is

She keeps her sugar consumption to a minimum and eats a handful of almonds every day.

You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is
You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is

You Won’t Believe How                               Old This Woman Really Is

Welcome 20th July at floating restaurant forodhani Zanzibar

$
0
0

IMG_1020Ticket za Karibu Fashion Festival zinapatikana sehemu zifuatavyo Waiz Fashion Shagahani Stree, Adam Fashion Vuga Street na Tatu Restaurant..

Kwa mawasiliano zaidi unaweza kutupigia kupitia 0764 228 855

Karibu sana.

IMG_0972Baadhi ya mavazi ya Waiz Fashion  yanayopatikana Shagahani Stree Zanzibar,

IMG_1021

Siku ya Afrika Kusini kunogeshwa ndani ya tamasha la ZIFF usiku wa huu

$
0
0

19808848325_b2f0e67169_z Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka  akiwa jukwaani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 18, la ZIFF 2015, katika jukwaa la Ngome Kongwe… Bi Masuka anatarajia kutumbuiza usiku wa leo ambao ni maalum kwa Taifa la Afrika Kusini (South Africa day).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Zanzibar) Today is South Africa Day at ‪#‎ZIFF2015 catch a range of South African movies including Uthando and Sarafina! (film) at the Old Fort with Guest of Honour Leleti Khumalo and live performances at Mambo Club from Luanga Choba and the legendary Dorothy Masuka.

 Leo Julay 19 ndani ya tamasha la ZIFF  ni siku maalum ya nchi ya Afrika Kusini  ambapo filamu maalum za Uthando na Sarafina zitaonyeshwa katika ukumbi mkubwa wa  Ngome Kongwe  sambamba na Mgeni maalum ambaye ni staa wa filamu hizo,  Leleti Khumalo ‘Sarafina’ atakuwa sambamba na watu mbalimbali kushuhudia filamu hizo.

Wadau mbalimbali watapata kupiga picha kwenye zuria jekundu ‘redcarpet’ na staa huyo aliyetamba katika filamu hiyo ya SARAFINA ambaye pia kwa sasa anatamba pia katika filamu zingine na tamthilia.

Baada ya filamu hizo, kutafuatia shoo maalum na ya kipekee upande wa Mambo Club kwa watu watakaoshuhudia muziki wa ‘live’ kutoka kwa  Luanga Choba na Nguli wa muziki  Dorothy Masuka ambaye ni miongoni mwa wanamuziki mwanaharakati wa kupigania Uhuru katika nchi za Afrika tokea akiwa binti mdogo.
DSC_0439.jpgkk…Sauda Simba Kilumanga mshehereshaji wa shughuli ya ufunguzi wa tamasha la 18 la ZIFF 2015 (kulia) akihamaki kwa muda  baada ya kufanyiwa ‘Surprise’ na gwiji wa muziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mwanamama Dorothy Masuka   alipompongeza na kumtaka awe nawe jukwaani katika shoo itakayopigwa usiku huu wa leo.

Gwiji huyo alivutiwa na sauti ya ushehereshaji ya Sauda Kilimanga ambapo alimwelezea kuwa na sauti yenye kuvutia kuongea jukwaani na hata kuimba hivyo kumuomba kuimba naye usiku huu wa leo Julai 19.

DSC_0333Mwanamuziki Damian(kushoto) akiwa pamoja na ‘crew’ ya ZIFF  ambao ni waratibu wa jukwaa la muziki Hassan Bond ‘Has T’ na Miss Farida (kulia).. wakifuatilia wakati wa ‘Sound check’ ya mwanamuziki Bi. Masuka.

DSC_0340 Bi. Masuka akiwa katika ‘Sound check’  kabla ya shoo usiku huu…

DSC_0342..Sound check ikiendelea kabla ya shoo usiku huu.

Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar

$
0
0

DSC_0633Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)

Na Andrew Chale, modewjiblog 

(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa  viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar   kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi  lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na watu mbalimbali wa ndani na nje ya Zanzibar na mataifa mengine.

Hakika ilifana kutokana na kila mbunifu kuonesha kazi yake iliyobuniwa kwa kiwango cha juu hali iliyoibua shangwe na nderemo kila ‘models’ wanapopita kwenye jukwaa na mavazi hayo ya ubunifu.

DSC_0321

Mbunifu wa mavazi kutoka Visiwani Zanzibar, Rizwan akiwa na ‘model’ wake aliyemvisha mavazi yake ya ubunifu..

DSC_0403

Mbunifu wa mavazi kutoka Dar es Salaam, Augusta Masaki akipata mbele baada ya kuonesha mavazi yake…

DSC_0519

DSC_0523

Mbunifu mkongwe wa mavazi nchini, Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin akiwa pamoja na ‘models’ wake walionyesha mavazi yake ya ubunifu usiku huo..

DSC_0124

DSC_0120

DSC_0114

DSC_0119

DSC_0590

DSC_0591

DSC_0095

DSC_0605

Mbunifu wa mavazi kutoka Zanzibar Waiz…

DSC_0555

Mbunifu wa mavazi kutoka Zanzibar, Adam..

DSC_0553

DSC_0512

DSC_0577

DSC_0576

DSC_0008

Joseph Alban akiwa katika redcapert  akishoo love na wadau..

DSC_0050.jpgxd

DSC_0243

MC  wa shughuli nzima ya Karibu Zanzibar Fashion 2015, Irene akifanya yake usiku huo…

Ya Moto band, Orijino Komedi wafanya kweli tamasha la ZIFF 2015

$
0
0

DSC_0225Wanamuziki wa bendi ya Ya Moto wakishambulia jukwaa usiku huo…

Na Andrew Chale, modewjiblog

(ZANZIBAR) Kundi la muziki wa kizazi kipya nchini, YAMOTO BAND lenye maskani yake Temeke Jijini Dar es Salaam na kundi la vichekesho la Orijino Komedi ‘OK’   usiku wa Julai 21 wameweza kukonga nyoyo za wadau wa burudani waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la 18, la kimataifa la filamu za nchi za Majahazi (Zanzibar International Films Festival-ZIFF) linaloendelea visiwani hapa.

Katika shoo hiyo iliyojaa kila aina ya burudani, makundi hayo yaliweza kuteka vilivyo kwa kuonyesha kile walichokitaka wadau wa burudani waliojitokeza kwa wingi.

Kundi la OK, lililokuwa na Masanja Mkandamizi, Joti, Mpoki, Wakuvwanga na Mc Legan walishambulia jukwaa kwa kuingiia mmoja mmoja na baadae  kundi hilo la Ya Moto  nao walihitimisha burudani kwa kupiga nyimbo zao mbalinbali mpya na za zamani.

Mbali na makundi hayo pia, usiku huo kulikuwa na burudani kutoka kwa wanamuziki Baraka Da Prince, Chemical,  Kidumbaki  na wengine wengi.

Tamasha hilo lililoanza  Julai 18, linatarajia kufikia tamati Julai 26 mwaka huu huku filamu mbalimbali zikiendelea kuonyeshwa pamoja na burudani ya muziki kila siku katika viunga vya Unguja na Pemba.

DSC_0092Joti na Mc Legan wakishambulia jukwaa..DSC_0114

DSC_0095

DSC_0101

DSC_0104Masanja Mkandamizaji.. DSC_0097Joti..

DSC_0244Dogo Aslay…

DSC_0299

DSC_0234Ya Moto band…

DSC_0183Msanii Baraka Da Princce…. akiimba jukwaani ZIFF 2015

DSC_0131Msanii wa kufokafoka Mwanadada Chemical akishambulia jukwaa la ZIFF 2015

Elena Rapti Is the Hottest Woman in Greek Parliament!


Kidoti :Vijana wa jiji la Arusha changamkieni fursa za kijasiriamali

$
0
0

 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kidoti Jokate Mwegelo  (kidoti) akiwa na mabalozi wake aliwapata ndani ya mkoa wa Arusha tayari kwa kwenda mtaani kutangaza bidhaa zake zake za kidoti zilizoingia jijini Arusha kwa mara ya kwanza.

Warembo wa Kidoti wakiwa wako katika pozi wameshikilia baadhi ya bidhaa za Kidoti.

Mmoja wa mabalozi wa Kidoti  aliyejulikana kwa jina la Anolia Agustino akiwa anaongea na waandishi wa habari.

Meneja masoko wa kampuni ya Kidoti, Peter Kasija akiwa anaongea na waandishi wa habari ndani ya viwanja vya Triple A hii jana wakati walivyokuja jijini Arusha kutangaza bidhaa za kampuni yao.

Mabalozi wa Kidoti wakiwa kazini.

Baadhi ya bidhaa zinazosambazwa na Kidoti jijini Arusha.

Ndala za Kidoti.

Mawigi ya  Kidoti ndio haya.

Na Woinde Shizza wa libeneke la kaskazini blog

Wito umetolewa kwa vijana ndani ya jiji la Arusha kujitokeza katika kuchangamkia fursa za kijasiriamali zinazojitokeza ili kuweza kuwaepushia vijana na matendo maovu yanayoweza kuwafanya ndani ya jamii kukosaa thamani.

Wito huo umetolewa na Jokate Mwegelo (Kidoti) wakati akichagua vijana wajasiriamali ndani ya jiji la Arusha katika ukumbi wa Triple A jijini hapa ambapo anatarajia kuwapata wajasiriamali vijana ambao hatawaingiza katika fursa ya wajasiriamali kwa kupitia kampuni yake ya Kidoti.

Alisema  kuwa amevutiwa  kuja kuwekeza ndani ya jiji la Arusha  katika nyanja za ujasiriamali kwa kuwa anaelewa kuwa vijana wa jiji la Arusha hususa ni wasichana wana muitikio mkubwa katika swala zima la ujasiriamali na maendeleo binafsi.

 Aidha alibainisha kuwa katika  mchakato huo wanatarajia kupata wajasiriamali wapatao 13 ambapo tofauti na kujiingizia kipato cha ujasiriamali pia watakuwa mabalozi wa kutangaza bidhaa zilizo chini ya kampuni ya Kidoti.

 “ndugu mwandishi unavyowaona hawa wote hapa ni vijana kutoka mkoa mzima wa Arusha na mikoa ya jirani tunawafanyia usaili na kupata vijana ambao wanakidhi vigezo vya kuingia katika ujasiriamali ,utakao wapelekea wao kufanya kazi na kampuni ya kidoti pamoja na kujiajiri binafsi” alisema Kidoti

Pamoja na hayo alisema kuwa kampuni hiyo kwa mwaka huu imeamua makusudi kusogeza huduma za  ikiwemo bidhaa zake katika mikoa ya nje ya jiji la Dar Es Salaam ili kuwapa furusa watu wa mikoani ambao walikuwa hawazipati huduma za Kidoti.

Kwa upande wa mmoja wa washiriki waliojitokeza katika mchujo huo Anolia Agustino  alimpomgeza Kidoti kwa hatuqa aliofikia ya kuwaajiri vijana haswa wasiochana kwani, jambo hili litawasaidia wanasichana wengi kupata ajira pamoja na kujiajiri binafsi.

Aidha alisema kuwa  mbali na kupata ajira pia kampuni hii itawasidia kujifunza ujasiriamali pamoja na kujiajiri binafsi kwani, bidhaa za Kidoti ni za bei na fuuu na unaweza kuanza kujiajiri kwa kutumia mtaji mdogo.

Kwa upande wa mshiriki mwingine ambaye tayari alikuwa amenufaika na kampuni ya Kidoti aliyejitaja kwa jina la Anjela Mushi alisema kuwa kampuni hii imemsaidia sana kwani alikuwa anakaa nyumbani bila kazi lakini alivyoona kwenye mtandao wa kijamii aliamua kujitafuta mawasiliano na kuanza  na mtaji mdogo na kwasasa hivi mtaji wake umekuwa.

“Mimi nilianza kuona bidhaa za Kidoti katika mitandao ya kijamii kama Instagramu  nikaamua kutafuta mawasilano kwakeli nilipata na nilikuwa na mtaji mdogo kwani nilianza na mtaji wa shilingi laki moja na sasa na shilingi laki nne na biashara yangu nilianza mwezi wa tano na sasa ni mwezi wa saba  kwa hadi sasa nina mienzi mitatu nashukuru Mungu mtaji wangu umekuwa”alisema Anjela.

Alimalizia kwa kumpongeza Kidoti na kumsihi aendelee kuwasaidia wasichana kwani hivi sasa kumekuwa na changamoto ya ajira kwani ajira imekuwa ni ngumu.

Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano

$
0
0

Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na  Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha  wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake  kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.

Washiriki wakimsikiliza kwa makini Mentor, Shamim Mwasha aliyetoa mada kwenye semina hiyo namna ya kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa ya maisha yetu ya kila siku na kucha kupoteza muda kwenye mitandao ya kijamii bila manufaa yoyote.

Taasisi ya Manjano Foundation, ambayo imeanzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa Miradi  ambayo itamuinua mwanamke wa Kitanzania kwa kumwondolea umasikini wa kipato na ambayo itakuwa ni chachu ya kubadili yale yote yaliyoyazunguka maisha yake. Taasisi hii limekwishazindua mradi wenye kubeba bendera yake, Manjano Dream-Makers, mradi unaokusudia kuzaa kizazi kipya cha wajasiriamali wanawake kwa kutumia kipodozi cha LuvTouch Manjano tu.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd  Mama, Shekhar Nasser akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji   8020 Fashion,  Shamim Mwasha  akilezea namna anavyoitumia mitandao ya kijamii kwa manufakatika maisha yake ya kila siku.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd, Mama Shekhar Nasser akitoa mafunzo  kwa njia vitendo kwa washiriki wa semina hiyo yenye lengo la kumsaidia mwanamke wa Kitanzania kuthubutu kujikita kwenye biashara hususani kwa kutumia vipodozi pekee  vinavyozalishwa na Shear Illusion vya Luv Touch Manjano.

Washiriki wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mafunzo kwa njia ya vitendo.

Washiriki wakiwa pamoja mara baada ya kumaliza mafunzo kwa njia ya vitendo.

Lengo la Mradi huo ni kuwajengea uwezo wanwake wa Kitanzania kupitia bidhaa bidhaa za vipodozi vya Luv Touch Manjano kujisimamia na kujikita vizuri kwenye biashara ya vipodozi na kujua mbinu mbalimbali za biashara kwa lengo la kumjengea uwezo mwanamke wa kitanzania.

East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika

$
0
0

DSC_2289Wanamuziki wa bendi ya  SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana  Agosti Mosi, wakati wa shoo  East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)

Na Andrew Chale

(Kinondoni-Dar es  Salaam) Usiku wa  Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki   ndani ya ukumbi wa Nafasi Art Space-Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Shoo hiyo iliyoanza majira ya saa moja  za jioni, Mwanamuziki wa Tanzania, Grace Matata aliweza kunogesha shoo hiyo. Grace aliweza piga nyimbo zake mpya na zile za zamani na kisha nyimbo mbalimbali alisababisha shangwe kutoka kwa wadau wa burudani kwenye onesho hilo.

Mbali na Grace Matata,  Msanii mwingine wa Tanzania, Leo Mkanyia  na bendi yake ya Swahili Blues nao walitikisa vilivyo kwa shoo kali iliyodumu kwa masaa mawili jukwaani huku kila mmoja akiinuka kwenye vit na kusakata muziki huo wa ‘Live’.

Ngwe ya burudani ilifungwa na mchekeshaji maarufu wa Kenya na Afrika Mashariki,  Eric Omondi ‘Baunsa’  aliweza kuvunja mbavu mashabiki kwa vichekesho vyake mbambali  huku bendi ya Sarabi  (Kenya) ikikonga kwa burudani kali na ya aina yake.

Onyesho hilo liliandaliwa na  CDEA ‘Culture and Development East Africa’,  kwa kushirikiana na Nafasi Art Space huku kwa upande wa maDJ wa onyesho hilo walikuwa chini ya Santuri Safari (Kenya).

 Mratibu wa onyesho hilo Naamala Samson  alishukuru wa wadau wa burudani kwa kujitokeza kwa wingi kwa  kwenye onesho hilo. Aidha, amepongeza wadhamini  mbalimbali waliojitokeza wakiwemo Regency Park Hotel, Vibe Magazine, Bongo5.com, Michuzi Blog, Goethe Institute, Midundo Online Radio, CEFA.

Wengine ni  Timeticket, Nafasi Art Space, Eco Sanaa Arts Space, Creative Infinity, Kenya Airways, Apex Media, Iris Media, Kumkichwa Entertainment, Santuri Safari DJs na Legendary Music.

DSC_2105Mwanamuziki wa Tanzania, Grace Matata akiimba jukwaani na bendi wakati wa tamasha hilo la East Africa Vibes Concert…

DSC_2114Eric Omondi mbali na uchekeshaji, pia ni mwanamuziki na muigizaji wa filamu.. hapa akishambulia jukwaa na moja ya nyimbo zake.. 

DSC_2330Bendi ya SARABI  kazini…

DSC_2351

DSC_2374baadhi ya wadau wa burudani wakisakata muziki uliokuwa ukiendelea jukwaani kwenye tamasha hilo..

DSC_2100

DSC_2386Eh! Mwandishi Mwandamizi wa modewjiblog.com, Andrew Chale naye aliamua kusakata rumba… baada ya kukolea na midundo motomoto!!

DSC_2263Wadau wa sanaa ..Rebecca Corey wa Santuri Safari (mbele mwenye camera) akisakata rumba pamoja na wadau wengine wakati wa shoo hiyo.. wengine mwenye jinsi ya bluu ni mwanamama, Sauda Kilumanga Simba.

MOJAMbali na burudani picha ya mwezi huu ndani ya blog ya modewjiblog.com ni hii.  Pichani ni baadhi ya wadau wa muziki waliojitokeza katika shoo hiyo ya East Africa Vibes Concert wakiwa wamevalia khanga  kiafrika zaidi…kama  unavyowaona!!

DSC_2075Eric Omondi akiwa katika ‘redcaprt’ kabla ya shoo hiyo..

DSC_2095Daniel Kijo (kulia) akipata kuhojiwa na tv ya bongowood

DSC_2258Mwanadada katika redcapert..

DSC_2154Waliotokelezea katikak red capert..

DSC_2071

DSC_2088Kundi la Sarabi wakiwa katika picha ya pamoja na Eric Omondi…

DSC_2131Wadau wakipata ukumbusho na kamera  ya modewjiblog.com wakati wa shoo hiyo..

MAZUA Smart Shavers yaja na muonekano mpya

$
0
0

IMG_1410

Muonekano mpya wa nje wa MAZUA Smart Shavers iliyopo maeneo  ya KIBAMBA HOSPITAL (stand ya mabasi).

Haya sasa kwa wakazi wa UBUNGO,,,,,,,KIMARA,,,,,,,MBEZI LUIS,,,,,,,,KIBAMBA,,,,,,,,,,KIBAHA na maeneo mengine yoote ya jiji la Dar es Salaam….sasa hakuna haja tena ya kuhangaika na foleni kwenda mjini kunyolewa ama KUPAMBA MAHARUSI wa kiume, Sasa mmesogezewa huduma nyumbani……ni MAZUA SMART SHAVERS✔️ iliyokuja na muonekano mpya inapatikana eneo la KIBAMBA HOSPITAL (stand ya mabasi) ukiwa unatoka mjini ni mkono wako wa kushoto na kwa wanaotoka Kibaha ni mkono wa kulia ng’ambo ya barabara.

MAZUA SMART SHAVERS✔️ndio wadau wa kwanza kwa Dar es salaam na Tanzania nzima kwa ujumla, kuwekeza mamilioni ya pesa kwa ajili ya kujali afya na vichwa vya wateja wao.

Tembelea MAZUA SMART SHAVERS upate huduma tofauti kwa bei ya kawaida kabisa kutoka kwa vijana nadhifu pamoja na warembo maridadi…..Pia kuna chumba cha VIP kwa wateja.

WOTE MNAKARIBISHWA KUPATA HUDUMA ILIYOBORA NA YENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.

IMG_1379

Muonekano mpya wa ndani wa MAZUA Smart Shavers baada ya ukarabati wa hali ya juu.

IMG_1390

Kiti maalum cha kunyolea kwa ajili ya watoto, ambapo ukimweka hapo anasahau kama ananyolewa.

IMG_1463

Pichani juu na chini Kinyozi wa MAZUA Smart Shavers akitoa huduma kwa mteja, huku mteja wake akiendelea kuchat kwenye nguo maalum inayomwezesha kufanya hivyo bila simu yake kuingia nywele.

IMG_1470

IMG_1494

Mteja mwingine akichat huku Kinyozi akiendelea kufanya ukarabati kwa mteja.

IMG_1510

Mteja akiwa ndani ya chumba cha VIP ndani ya MAZUA Smart Shavers akisubiri kupewa huduma ya Facial kwa kutumia mashine maalum inayotoa mvuke.

IMG_1525

Wadada warembo wakitoa huduma ya Facial kwa kutumia mvuke wa mashine maalum ndani ya MAZUA Smart Shavers.

IMG_1516

Mteja akiendelea kupatiwa huduma ya Facial inayosaidia kulainisha ngozi ya uso, kuzibua vitundu vilivyoziba vya kupitisha hewa usoni na kuondoa mafuta yasiyohitajika ambayo yakiwa mengi yanasababisha chunusi usoni.

Huduma wanazotoa MAZUA Smart Shavers ni Facial Scrub, Wave, Magic, Black Dye, Pedicure na n.k

IMG_1425

MAZUA Smart Shavers ina parking iliyosalama na uhakika kama inavyoonekana pichani.

IMG_1571

Muonekano wa MAZUA Smart Shavers nyakati za usiku.

Do You Want to Live in Paris? If So, Learn the Rules

$
0
0

very_hot_afternoon_on_a_summer_in_paris_15_20100226_1701589077In picture very hot afternoon on a summercin Paris..

Do you want to live in France and most especially Paris? It’s amazing how many people say yes when they have no compelling reason to relocate. It’s understandable if it’s for a career move, if you’ve fallen in love with someone French, if you’re coming for family reasons, or if you’re studying.

But, the days of Paris being a haven for artists because it’s cheap are long gone. Unless you’re from Singapore (the most expensive city in the world), you’ll suffer from sticker shock. As quoted by the BBC, a recent study (2015) by the Economist Intelligence Unit (EIU) rates Paris as the second most expensive city in the world.

Do people move here because of the decades of wonderful movies they’ve seen that glorify France’s landscapes and architecture? Many transplants claim they crave history, sensibility and a sense of culture. Then there are those who are seeking out adventure. Could it be the designer clothes that are featured in fashion magazines? Not everyone can be in search of good bread and croissants, which are more the norm than the exception.

I know why I live here, which many of my friends who live elsewhere simply don’t understand. I’ve chosen to make Paris my home because of the freedom I feel. I love being able to go places alone or without a partner, have real conversations about ideas, issues, politics and not focus on who is doing what, where, or how much he or she is earning. In other words, absenting myself from the world of social confetti. Being able to walk the majority of the places I want to go and access first-rate public transportation is liberating. This doesn’t mean there aren’t discussions centering on food and vacations. But, if you live in France, that’s important.

Savvy business people make it a priority to familiarize themselves with cultural differences to seal a deal. Most realize that something so mundane as a handshake can get you off on the wrong foot. In France, not saying bonjour before launching into a conversation can place a damper on negotiations and that includes buying a newspaper or a baguette. Just because someone is selling you a product or a service doesn’t mean they’re slaves. They may not say it, but some French perceive that omission as ruder than rude.

Why people visit or move to France, without learning as much as humanly possible before coming, is an enigma to me.

Wait a second…come to think of it, I was among the really guilty. I’d like to say I was young and stupid, but I should have known better. My husband gave me relatively little notice before accepting a job with a multi-national corporation and I arrived in Paris with a U.S. dollar check. How dumb was that? VERY dumb. But, we were among the very (very) lucky whose rental contract could be ratified by a deep-pocketed big bank employer.

Not until it was time to apartment hunt without the help of that company were we confronted with reality and the joys of French bureaucracy and red tape that went on forever. Come to think of it (it’s been a lot of years), I had to enlist the help of a French lawyer to persuade the apartment owners that we were trustworthy tenants for this hotly contested rental property. Why was everyone who came to the open house lugging very thick dossiers with all of their financial papers and their utility bills? Cultural differences are one thing but this felt (to me) like insanity.

If you expect to transfer your life back home to another location, where there are different customs plus a different language on top of it, forget it. Some people fare better than others when they move because of their attitudes. More outgoing and adventuresome personality types, who aren’t felled by fear, are at an advantage. But, they need stop to listen before barreling forward and take their cues from the locals whom they respect.

If you’re French and were born here, living in Paris isn’t a big reach. If you’re a foreigner, or even from other area of France, living in the City of Light may or may not be your dream come true. Yes, you can be in Paris without speaking French, but who wants to? So much is lost in translation, and you’re a perpetual voyeur who doesn’t understand the nuances or maybe the basic storyline.

Published in 2012, the book I Love You but You’re Bringing Me Down by Rosecrans Baldwin got lots of press and I’m more than ambivalent. It’s great when someone succeeds in selling books. But, when is it more a tribute to marketing, than to content? Baldwin and his wife moved here from New York City and are incredulous that there aren’t credit cards in France and only debit cards. (Actually you can get one, but the process is akin to being waterboarded after root canal without anesthesia.) You mean he couldn’t buy a computer and pay just a bit each month. The banker suggested he could take out a loan. This may be considered untenable (not to mention un-American) but c’est normal in many parts of the world.

Browse the shelves of most bookstores and you’ll find numerous books detailing why people move here and the glories to follow. It’s the country of wine, cheese and better-than-average-food. Most of my acquaintances tend to travel. But it’s not a big deal. You can get to London from Paris in just over two hours and then there’s Italy, Spain and so many other destinations. Yes, Paris is a great jumping off point for the rest of the E.U.

Conversely, there are the books that detail how hard an adjustment it is to live among those difficult French who (allegedly) don’t smile, are always on vacation and take themselves way too seriously and/or would rather go hunting than keeping their noses to the grindstone. Peter Mayle, of A Year in Provence fame, and the many sequels, made a fortune writing this genre of book. Mayle upped and left Merérbes (was he avoiding tourists who surrounded his house, the French tax authorities or…?) Mayle moved to the Long Island Hamptons but only lasted there four years before returning to Loumarin, another village in Provence. Mayle has apparently gotten the renovation knack and found good workmen since he sold that house in 2011 and has moved to a smaller village not far away.

Places change and people need to change with them and make adjustments. Three essentials: don’t be rigid, have unrealistic expectations and probably the most important is maintaining a sense of humor.

Whatever your motive, it’s important to adopt the Boy Scout adage and “be prepared.”

Originally published by Karen Fawcett in 2012; updated in July 2015 and Modewjiblog published again August 12.2015

Viewing all 244 articles
Browse latest View live